- Thread starter
- #21
Tuache unafiki , mama huyu anajua unafiki wenu , anajua kabisa mlivyomtukana mume wake marehemu sasa subirini laana . Hamuwezi kuifuta laana hii kwa kujipendekeza mkadhani hajui.
Mama Maria anajua kutofautisha ukweli na matusi labda ninyi mnatumia akili za Lukuvi!