Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,352
Ngojeni nipate bia mbili tatu....nitatoa maoni yangu....
Maoni yapi sasa?
Maoni ya chupi kufuliwa na mama au chupi za nani zinafuliwa na mama?
Ngojeni nipate bia mbili tatu....nitatoa maoni yangu....
Mhhh...babu kwa maswali??!!!!
mzima lakini wewe?
Sijambo mpenzi
Nimekumisi mpaka nimesahau namna ya kumisi....
Eti laaziz......ukiona mwanamke anavua chupi, unaweza kujua ni za nani kama hujawahi kumwona mvaaja akiwa amezivaa?
Ngoja nikalale mwaego!
mhhh...babu unanimiss???!!! wakati unajua napatikana wapi...mhhh???!!!
Kwa kweli hilo swali ngumu sana...labda tumsubiri Dena aje ajibu
Tatizo hata kule mtaani kwetu, nikikupitia nakuta ushafunga milango.
Kwema?
Ngoja nirudi kitandani niwaachieni mjadala wenu wa chupi.
Kwani umuhimu wake uliwahi kupotea?mh jaman mama leo ndo anaonekana umuhimu wake?
Mi nawapinga wote mnaosema anamdekeza.......khaaaaaa!
Ukweli ni kwamba wanamegana.
Sitajibu swali lolote ntakaloulizwa hapa.....samahani sana.
Maoni yapi sasa?
Maoni ya chupi kufuliwa na mama au chupi za nani zinafuliwa na mama?
fellow tablet, kweli kulelewa famasi samtaimu kunasaidia. hapa hakuna kudekezwa wala shemeji yake kudekezwa hii mama inaserebuka na mwanawe.Mi nawapinga wote mnaosema anamdekeza.......khaaaaaa!
Ukweli ni kwamba wanamegana.
Sitajibu swali lolote ntakaloulizwa hapa.....samahani sana.
sasa thredi inasomeka vizuri....yaani dogo kajipatia wife bila kutoa mahari.
fellow tablet, kweli kulelewa famasi samtaimu kunasaidia. hapa hakuna kudekezwa wala shemeji yake kudekezwa hii mama inaserebuka na mwanawe.
halaf namimi nasisitiza hili suala ambalo limeulizwa b4, DA alijuaje kama hayo makufuli ni ya huyo kijana? au alipatiwa ufunuo na yohanna?
hehehe hii wanasayansi tunaita holy threesome, lazima DA ana share tu kwa huyu mkaka, mimi mpaka leo makufuli ya waifu siyajui acha ya mtoto wa jirani, khaaa!. na kwa sheria za mahakama ya kisutu hapa DA hatoki, ni bora abadilishe ID tu yaishe.Hahahaha....fellow...hili swali tangu liulizwe DA kaingia mitini. Au kuna uwezekano DA na mama wanachangia ufuaji wa chupi za dogo? Wivu siyo dawa..........
hehehe hii wanasayansi tunaita holy threesome, lazima DA ana share tu kwa huyu mkaka, mimi mpaka leo makufuli ya waifu siyajui acha ya mtoto wa jirani, khaaa!. na kwa sheria za mahakama ya kisutu hapa DA hatoki, ni bora abadilishe ID tu yaishe.
jana alikuwepo baada ya kuanzishiwa sredi na gadaffi (ni kibaka flani ameanzisha sred anammind DA), lakini cha kushangaza hii sredi alijifanya kama hakuianzisha yeye vile! hakuja hata kugonga senks, yaani kamanda hapa hatuondoki mpaka DA atoe jibu au aombe razi jukwaa la MMU kwa kupotosha ukweli.Hahahah we kijana una akili kama Newton....atakuwa kashabadili ID huyu.....alivyokuwa na aleji na JF hawezi kosekana jamvini kwa siku mbili.....sasa ndugu yangu we umenizidi kama hata ya waifu huyajui.....dah! Mi hata nepi za mai lasti boni wangu sijui zina rangi gani.
jana alikuwepo baada ya kuanzishiwa sredi na gadaffi (ni kibaka flani ameanzisha sred anammind DA), lakini cha kushangaza hii sredi alijifanya kama hakuianzisha yeye vile! hakuja hata kugonga senks, yaani kamanda hapa hatuondoki mpaka DA atoe jibu au aombe razi jukwaa la MMU kwa kupotosha ukweli.