Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,262
Habari Zenu wote haijalishi ni shikamooo, hujambo, mambo vipi, mzima wewe, nk salamu ni salamu nawasalimu kwa heshima kubwa niliyofundishwa na Wazazi wangu(nieleweke siwasifii wazazi wangu)
Naishi nyumba ya kupanga huku nilipo (Afrika) mwenye nyumba ni Land Lady (Mama Mwenye nyumba), Land Lord (spelling sijui kama ziko sawa maana mie kidhungu noti reachable) alifariki muda kidogo hata mimi sikuwepo wala sikudhani kama nitakuja kuishi nchi hii.
Nieleweke sisemi kwa ubaya hapa kwa hili ila kuna kitu kimeniishangaza sana huyu mama yuko karibu sana na kijana wake wa tatu kuzaliwa mpaka watoto wengine wanaona vibaya kabisa mf. rent na bill zote kama umeme, maji, simu, takataka, ulinzi nk anachukua yeye (kijana), matengenezo ya nyumba yeye na mengine mengi anafanya bila kuwashirikisha ndugu zake, mind you anashirikiana na mama yake tena kwa karibu sana.
My pointi is: Kilichonifanya nilete thread hii hapa ni kuwa nimetoka kazini leo jioni narudi home nakuta Mama anafua nguo za kijana aka mtoto wake wa kiume(yule the best of the best) more than 23 yrs mpaka soksi, ch*** nimestuka nusu nizimie kha iweje??? Usiniulize kwanini kwasababu sitajibu
Sitaki mambo ya umbea lakini nimeshangaa nakujiuliza bila kupata majibu na sikutaka kumuuliza mtu wa karibu ili kutaka kujua mambo ya ndani kwao, naona kama hayanihusu vileeee.
Ila nauliza wanajamii hii ni haki kweli maza anakufulia nguo, soksi mpaka nanihinooooo kweli au kuna kitu kinaendelea hapo zaidiii..................... (I stand to be corrected)
Mie ni mpangaji lakini sijapenda hii tabia.
Usiku mwema woteee nawapenda.......................
Naishi nyumba ya kupanga huku nilipo (Afrika) mwenye nyumba ni Land Lady (Mama Mwenye nyumba), Land Lord (spelling sijui kama ziko sawa maana mie kidhungu noti reachable) alifariki muda kidogo hata mimi sikuwepo wala sikudhani kama nitakuja kuishi nchi hii.
Nieleweke sisemi kwa ubaya hapa kwa hili ila kuna kitu kimeniishangaza sana huyu mama yuko karibu sana na kijana wake wa tatu kuzaliwa mpaka watoto wengine wanaona vibaya kabisa mf. rent na bill zote kama umeme, maji, simu, takataka, ulinzi nk anachukua yeye (kijana), matengenezo ya nyumba yeye na mengine mengi anafanya bila kuwashirikisha ndugu zake, mind you anashirikiana na mama yake tena kwa karibu sana.
My pointi is: Kilichonifanya nilete thread hii hapa ni kuwa nimetoka kazini leo jioni narudi home nakuta Mama anafua nguo za kijana aka mtoto wake wa kiume(yule the best of the best) more than 23 yrs mpaka soksi, ch*** nimestuka nusu nizimie kha iweje??? Usiniulize kwanini kwasababu sitajibu
Sitaki mambo ya umbea lakini nimeshangaa nakujiuliza bila kupata majibu na sikutaka kumuuliza mtu wa karibu ili kutaka kujua mambo ya ndani kwao, naona kama hayanihusu vileeee.
Ila nauliza wanajamii hii ni haki kweli maza anakufulia nguo, soksi mpaka nanihinooooo kweli au kuna kitu kinaendelea hapo zaidiii..................... (I stand to be corrected)
Mie ni mpangaji lakini sijapenda hii tabia.
Usiku mwema woteee nawapenda.......................