bibikuku
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 832
- 495
Lazima mtu atoe ulimi nje hapo... Hako kazee ka Anna Abdallah si kamekuwa kabunge ka kupewa kwa miongo kibao kanazidiwa hata na Halima Mdee ambaye amepambana kivyake...
Hoja ya msingi ni kufuta kabisa hivyo viti maalumu period!!
Ukomo ni sawa ingawa mtazamo wangu kuvifuta ingekuwa bora zaidi, si wanalilia usawa siku zote? tupambane basi majimboni wote ili tudhihirishe huo usawa wanaoulilia