Mama Kanumba na matapeli wa freemason

Mama Kanumba na matapeli wa freemason

Huyo mama si alisema tumchangie pesa anunue gari,amechoka kutembea kwa miguu!
 
Hii nayo ni aina nyingine ya UTAPELI wa enzi na enzi, eti ukifa unaenda kuchomwa moto ambao unateseka tu lakini hutekeiei🤣
Wakoloni wa kizungu na kiarabu walijua kutuweza!

Mtu ukishakùfa ndio imeisha hiyo, ni kama anavyokufa mbuzi au kiumbe mwingine yeyote.....hakuna cha peponi wala motoni
This is for your life
 
Sijasoma Ila najua umeandika utumbo ambao wamatumbi wanaamini pia
Kaka sijakuelewa, mana picha inasema yote huyo tajiri chui ni TAPELI anadaai yeye ni free mason, na anaunganisha vijana hata we ukitaka unaenda kufungwa sa we na akili timamu unaeza enda kufungwa na huyo dogo? Sasa Ina maana mama KANUMBA ye hajui hio michezo kaka
 
Freemason gani hawa? Ni matapeli tu, freemason ni taasisi nyeti na haipati wanachama wake kiboya namna hii, msomeni Sir Andy Chande aliyekuwa mkuu wa Freemason Tanzania ndiyo mtajua freemason ni kina nani na hupatikanaje
Sasa kama free mason wa Kenya walifukuzwa kwenye jengo kisa Kodi Ina maana mtu hujiongezi kua hao ni wapigaji, ila Kuna watu wataenda na LAKI LAKI zao
 
Mkuu hapo Kuna watu wanaenda KUPIGWA, tajiri chui sio muigizaji ni mtu kazi kama alivo chief godlove, huyu jama NAE eti ana kanisa la freemason unajiuliza hivi huyu qmetuona sisi matrako, free mason Kenya walifukuzwa kwenye jengo kisa kushindwa kulipa Kodi, hata umeme TU walikua wamekatiwa, Sasa huyu atatushawishije
😀😀
 
Kaka sijakuelewa, mana picha inasema yote huyo tajiri chui ni TAPELI anadaai yeye ni free mason, na anaunganisha vijana hata we ukitaka unaenda kufungwa sa we na akili timamu unaeza enda kufungwa na huyo dogo? Sasa Ina maana mama KANUMBA ye hajui hio michezo kaka
Kwaio kuunganishwa ni Bure ama ndio laki
 
Wakati niyeye aliuza magari ya mwanae
ASEEE KUNA HAJA HAWA MAMA ZETU, UKISHA ONA UMEJIPATA QNZA KUMSOGEZA KWENYE VI BIASHARA VYA HAPA NA PALE, MAMA KANUMBA BAADA YA MWANAE KUFARIKI AKAANZA KUVAA KOTI LA SUTI NINI, ETI ANAENDA OFSINI, HAIKUPITA MUDA KODI IKAMSHINDA WAKAMTIMUA
 
Freemason gani hawa? Ni matapeli tu, freemason ni taasisi nyeti na haipati wanachama wake kiboya namna hii, msomeni Sir Andy Chande aliyekuwa mkuu wa Freemason Tanzania ndiyo mtajua freemason ni kina nani na hupatikanaje
Secret society or society of secrets ?
 
Back
Top Bottom