Mama Kanumba na matapeli wa freemason

Mama Kanumba na matapeli wa freemason

Katika Hali ya kushangaza, yule jamaa anae jiita tajiri chui kamuongeza mama KANUMBA kwenye crew yake ya matapeli, Yani jamaa amemshawishi mama KANUMBA mpaka NAE kakubali, je mama hajui hao ni matapeli? Kwenye picha mama KANUMBA ni huyo alie na mviii nyingi mwanamke peke yake.

Nani alaiwe kwa hiki anacho KIFANYA mama KANUMBA? Nime hisi TU labda mama baada ya kuona wamemkaushia akaona ajiongeze liwake jua inyeshe mvua mkono uende kinywani, tunaeA mlaumu bure kumbe Hana namna mama wa watu.

View attachment 3523758
freemason hawa hawa wanaoshindwa kulipa hata kodi ya pango kule kenya ama wengine?
 
Katika Hali ya kushangaza, yule jamaa anae jiita tajiri chui kamuongeza mama KANUMBA kwenye crew yake ya matapeli, Yani jamaa amemshawishi mama KANUMBA mpaka NAE kakubali, je mama hajui hao ni matapeli? Kwenye picha mama KANUMBA ni huyo alie na mviii nyingi mwanamke peke yake.

Nani alaiwe kwa hiki anacho KIFANYA mama KANUMBA? Nime hisi TU labda mama baada ya kuona wamemkaushia akaona ajiongeze liwake jua inyeshe mvua mkono uende kinywani, tunaeA mlaumu bure kumbe Hana namna mama wa watu.

View attachment 3523758
Freemason kavaaa miwani ya chino kidd😂😂😂🙌
 
Huyo mama kajiuza hapo dar mpaka kadoda
 
Kaka sijakuelewa, mana picha inasema yote huyo tajiri chui ni TAPELI anadaai yeye ni free mason, na anaunganisha vijana hata we ukitaka unaenda kufungwa sa we na akili timamu unaeza enda kufungwa na huyo dogo? Sasa Ina maana mama KANUMBA ye hajui hio michezo kaka
huu ni utapeli, hakuna cha ufreemason wala nini hapa, labda wanaigiza muvi. Hakunaga freemason wa kindezi namna hii, freemason wote ni elite upstair
 
huu ni utapeli, hakuna cha ufreemason wala nini hapa, labda wanaigiza muvi. Hakunaga freemason wa kindezi namna hii, freemason wote ni elite upstair
Tajiri chui kaanza kuigiza movie lini? Unamjua mkuu?
 
Back
Top Bottom