Mama aolewa na mwanaye baada ya kumpa ujauzito

Mama aolewa na mwanaye baada ya kumpa ujauzito

Huyo mama ana sura ya kichangudoa changudoa ndo maana, hilo li toto nalo sura yake imekaa kibasha basha hv. Wakizaa mtoto wampe jina CHANGUBASHA
 
Eeeeeeeh
Ila pole kwa kuwa zuba mfata mkumbo.. mkatekwa wote haswaaaaa
Sawa, ila najua kwa nini unajishtukia kwa kiwango cha kutokwa ushuzi...mimi sina kumbukumbu ya vyeti feki wala wafanyakazi hewa huko Mugabeland.

Unajua maana ya kubwa jinga?
 
Sawa, ila najua kwa nini unajishtukia kwa kiwango cha kutokwa ushuzi...mimi sina kumbukumbu ya vyeti feki wala wafanyakazi hewa huko Mugabeland.

Unajua maana ya kubwa jinga?

Najua maana hiyo kwasababu kupitia wewe ndio nikajua kuna "kubwa jinga" umekuwa mfano mzuri kuelezea hilo ma kufanya lieleweke.
 
Mmh! Me nkazan labda n wazungu tu ndo wenye mambo ya ajabu kumbe adi waafrica,wote apo ni mabwege tu
 
Back
Top Bottom