Tangu mama awe mwenyekiti wa ccm taifa ameteua na kiwatengua watu 4 kwenye nafasi ya uenezi.
1. Alimtengua Humphrey Polepole. Mtu mwenye akili na uwezo mzuri wa ku -connect na hadhira anapozungumza
2. Alimteua na kumtengua Abdul Shaka (mpwa wake kabisa).
3. Alimteua na kumtengua Sophia Mjema (mwanamke mwenzie).
4. Alimteua na sasa kamtengua Makonda . Kuna nyepesi kuwa alishauriwa kuwa Makonda hafai mama akapoga kura ya turufu .
Sasa swali ni je, mama anahitaji mtu wa aina gani ktk nafasi hiyo.
1. Alimtengua Humphrey Polepole. Mtu mwenye akili na uwezo mzuri wa ku -connect na hadhira anapozungumza
2. Alimteua na kumtengua Abdul Shaka (mpwa wake kabisa).
3. Alimteua na kumtengua Sophia Mjema (mwanamke mwenzie).
4. Alimteua na sasa kamtengua Makonda . Kuna nyepesi kuwa alishauriwa kuwa Makonda hafai mama akapoga kura ya turufu .
Sasa swali ni je, mama anahitaji mtu wa aina gani ktk nafasi hiyo.