Mama anang’ang’ania kunifulia nguo zangu.

Mama anang’ang’ania kunifulia nguo zangu.

Weka ki half cha ganja ilipigwa nyundo hapo gheto mezani Mama akikute, hataingia tena. Nakuakikishia.
 
1. Upo na mama na anajua wewe ni mtoto bado.
2. Shukuru unaye naanakujali ananguvu ma afya.
3. Mpende mama ako hakuna wakumpenda nakumjali kama wewe.
Ukikuta kafanya yote mnunulie zawadi nzuri au umtoe out na umwambie asante kwa fadhila hiyo maana kweli unaonyesha upendo namimi nimekuwa mkubwa.
4. Mtafute mdada wakazi awe anafua nguo zako na zamama anafanya usafi anaondoka ili mama apumzike.
Furaha ya mama ni wewe. Acha ujinga shauri yako
Another mama
 
Wasalam wanajamii forum, Mimi ni mwanaume rijali ninayeishi na mama nyumbani.

Nina tabia ya kurudia nguo hata siku SITA BIla kubadilisha na nikibadilisha naendelea hivyo hivyo huku nikirundika manguo yawe mengi Ili nije niyafue Kwa pamoja.

Mama anapenda Sana kuingia chumbani kwangu na mara nyingi panakuwa sio pasafi.Basi atanidekia choo na kusafisha chumba changu na kutandika kitanda lakini kinachoniuma kwanini ang'ang'anie kunifulia Mimi ni mtu mzima.

Kuna muda Hadi tunagombana nakasirika na kulia kabisa.Sijui hata nifanyeje anielewe.
Halafu kamwambia mama yako wewe mwanaume rijali una maana gani? Kuwa na adabu fala wee.
 
Kuna mvulana mwenzie nilikutana nae Mlandizi analalamika kunyolewa mavuzi na mamaake.

Kuja kuchunguza dogo ameshaanza kuchezewa mkia na wahuni na mamaake ni sababu ya kumwaribu

Wazazi wengine ni wapumbavu sanai!!
Mkuu vijana hawa wanaokaa na wazazi wao nyumbani hali imekua mbaya sana
 
Tangu niijue jamiiforum, sijawahi ona post za kipuuzi kama za huyu member.
 
Wasalam wanajamii forum, Mimi ni mwanaume rijali ninayeishi na mama nyumbani.

Nina tabia ya kurudia nguo hata siku SITA BIla kubadilisha na nikibadilisha naendelea hivyo hivyo huku nikirundika manguo yawe mengi Ili nije niyafue Kwa pamoja.

Mama anapenda Sana kuingia chumbani kwangu na mara nyingi panakuwa sio pasafi.Basi atanidekia choo na kusafisha chumba changu na kutandika kitanda lakini kinachoniuma kwanini ang'ang'anie kunifulia Mimi ni mtu mzima.

Kuna muda Hadi tunagombana nakasirika na kulia kabisa.Sijui hata nifanyeje anielewe.
unamuabisha mama acha uchafu oga vaa vizur, tandika kitanda chako vizuri, hata hivyo hayo ni miongoni mwa madhila ya mtu mzima kuishi kwa wazazi 🐒

kama chakula anakupikia na unafakamia vizuri sana bila kulalamika, atakufulia, atafagia na kudeki chumbani pako na ukiendelea kuishi kwa wazazi atakuogesha bila wasiwasi bila shaka apo mtapigana kabisa kama kwenye kufua mnagombana 🐒

wahenga walisema...

"mtoto kwa mama hakui "🐒
 
Anawaza kuto mbana tu kufua nguo zake ni anajishauri siku 6 hujafua nguo unajua huo uvundo unaotoka humo na hili Joto la hapa Dar? Ila masuala ya kuto mbana linachekelea kufua nguo sifuri
Unapenda sana kuongea matusi?mbona Kila Uzi naona umekazana na Hilo neno?
 
Wasalam wanajamii forum, Mimi ni mwanaume rijali ninayeishi na mama nyumbani.

Nina tabia ya kurudia nguo hata siku SITA BIla kubadilisha na nikibadilisha naendelea hivyo hivyo huku nikirundika manguo yawe mengi Ili nije niyafue Kwa pamoja.

Mama anapenda Sana kuingia chumbani kwangu na mara nyingi panakuwa sio pasafi.Basi atanidekia choo na kusafisha chumba changu na kutandika kitanda lakini kinachoniuma kwanini ang'ang'anie kunifulia Mimi ni mtu mzima.

Kuna muda Hadi tunagombana nakasirika na kulia kabisa.Sijui hata nifanyeje anielewe.
Hujitambui ndo sababu
 
Wasalam wanajamii forum, Mimi ni mwanaume rijali ninayeishi na mama nyumbani.

Nina tabia ya kurudia nguo hata siku SITA BIla kubadilisha na nikibadilisha naendelea hivyo hivyo huku nikirundika manguo yawe mengi Ili nije niyafue Kwa pamoja.

Mama anapenda Sana kuingia chumbani kwangu na mara nyingi panakuwa sio pasafi.Basi atanidekia choo na kusafisha chumba changu na kutandika kitanda lakini kinachoniuma kwanini ang'ang'anie kunifulia Mimi ni mtu mzima.

Kuna muda Hadi tunagombana nakasirika na kulia kabisa.Sijui hata nifanyeje anielewe.
Au unahisi anakutaka?
 
Back
Top Bottom