ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 4,906
- 15,287
Mtoto kwa mama hakui lakini ww umezidi kwanza ww ni lichafu tu tena lichafu og.Kama uko dar ama hata uko wapi jamani na joto lote ama umekutana na mvua jitu linavaa nguo six day ww ukipanda gari lazima watu wasikie kichefu chefu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]