Mama anang’ang’ania kunifulia nguo zangu.

Mama anang’ang’ania kunifulia nguo zangu.

Hivi vivuna vya siku hizi ni shida Sana.. wewe ni mchafu SANA. Mamako ankusaidia bado unalalamika. Hama uone kama utafuliwa nguo na mamako
 
Wasalam wanajamii forum, Mimi ni mwanaume rijali ninayeishi na mama nyumbani. Nina tabia ya kurudia nguo hata siku SITA BIla kubadilisha na nikibadilisha naendelea hivyo hivyo huku nikirundika manguo yawe mengi Ili nije niyafue Kwa pamoja. Mama anapenda Sana kuingia chumbani kwangu na mara nyingi panakuwa sio pasafi.Basi atanidekia choo na kusafisha chumba changu na kutandika kitanda lakini kinachoniuma kwanini ang'ang'anie kunifulia Mimi ni mtu mzima. Kuna muda Hadi tunagombana nakasirika na kulia kabisa.Sijui hata nifanyeje anielewe.

Utakuwa bado unavaa chupi zenye kimfuko mbele halafu hufui....
 
Utakuwa unanuka zaidi ya dampo maana kama unarudia nguo maana yaje huogi, una kikwapa, nyie ndo watu ukikaa nae kweye usafiri wa uma jirani anatapika nyonga kwa kunuka.

Kwa uchafu huo mke kumpata sio rahisi labda awe mchafu kama wewe
 
Back
Top Bottom