Mama ana chawa wake?

Mama ana chawa wake?

Mama kweli anao chawa tena wanene. Unadhani akina January Makamba, Livingstone Lusinde, Msukuma, Mwigulu Nchemba, Abdulrahaman Kinana, Rostam Aziz, Zitto Kabwe, Freeman Mbowe, Shaka Hamdu Shaka, Pindi Chana, Profesa Paramagamba Kabudi, William Lukuvi na wengine wengi ni nini bila kumsahau chawa mkubwa wao Yusufu Makamba?
Lakini sasa imekuwa rasmi lakini je chawa hawa wa mama
Ni kikundi?
Kina uongozi?
Kinafadhiliwa na nani?
Kina malengo gani? Nk nk
 
JamiiForums-1287245853.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom