Mama ana chawa wake?

Mama ana chawa wake?

Unafanya kazi gani?"

"Mimi ni chawa wa mama"

"Unalipwa shilingi ngapi?"

"Nitalipwa uDC au uDED"

"Hongera chawa"

"Thanks bro"
***************

Ndipo tulipofikia kama taifa!
 
Screenshots_2023-01-11-08-26-34.jpg
 
Mama ana 'chawa wake', jichanganye wakuvae mwili, 'utajikuna wewe mpaka utoke ngozi'
Karuhusu mikutano na ku balance isilete MATOKEO hasi kwake!

Good move,tutarajie wapinzani kuwa loyal kwa kiti!

Mungu IBARIKI NCHI YANGU TANZANIA niipendayo Sana
 
Karuhusu mikutano na ku balance isilete MATOKEO hasi kwake!

Good move,tutarajie wapinzani kuwa loyal kwa kiti!

Mungu IBARIKI NCHI YANGU TANZANIA niipendayo Sana
Matendo hukidhi haja maridhawa kuliko maneno... Ngoja tuone
 
Kila kitu huwa wanawekaga wazi shida kushindwa kudecode msg.

Be careful chawa Hawa mmewajadili Sana kwa kazi na operation zao zinazofanyika kimya kimya.

Chawa Hawa sio hao wanoko wanoko mliowazoea... Punguzeni kuikosoa Serikali..... Kuna mikono ina nyatia watu.
 
Kila kitu huwa wanawekaga wazi shida kushindwa kudecode msg.

Be careful chawa Hawa mmewajadili Sana kwa kazi na operation zao zinazofanyika kimya kimya.

Chawa Hawa sio hao wanoko wanoko mliowazoea... Punguzeni kuikosoa Serikali..... Kuna mikono ina nyatia watu.
Punguzeni kuikosoa Serikali..... Kuna mikono ina nyatia watu.
 
Neno chawa linalotumika kwa muktadha huo (context) haimaanishi chawa halisi bali tabia yake mojawapo ambayo ni kugandana yaani mtu akikuita chawa maana yake una tabia za kuwaganda watu, sasa kuwaganda kivipi hapo ndio inakuja maana kulingana na muhusika tabia yake.
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , tarehe 14/01/2023 kwenye ukumbi wa Karimjee , Jijini DSM , kutafanyika Uzinduzi Kabambe wa kile kinachoitwa CHAWA WA MAMA .

Taarifa iliyosambazwa kwa vyombo vya habari inaonyesha kwamba shughuli hiyo itasimamiwa na Mstahiki Meya Kumbilamoto , na Kwamba Wasanii kadhaa watatumbuiza , akiwemo Zuchu kutoka Wasafi .

Bali hakuna vigezo vyovyote vilivyotajwa kwa mtu kutambulika kuwa Chawa , lakini tunadhani Kusifia sifia kila kitu yaweza kuwa kigezo kikuu
JamiiForums-525517479.jpg
 
Chawa ni nani?

Hilo ni jina la Kiswahili, kiingereza ni lice na kwa jina la kitaalam ni Phthiraptera
Kiasili chawa ni aina ya wadudu wadogo tambazi wanaopenda kuishi kwenye miili ya binadamu wachafu na baadhi ya wabyama wafugwao wasiotunzwa kwenye mazingira safi

Chakula chake rasmi ni damu anayonyonya toka kwenye mwili wa binadamu au mnyama (hawa wa kufugwa) na akifanikiwa kupenya kwenye vidole vya miguu michafu hujichimbia kwenye ile ngozi laini na kugeuka funza na kutaga mayai humo

Funza ana mzio na watu wasafi! Kamwe hawezi kuweka makazi yake kwa watu safi wanaoishi kwenye mazingira safi.. Pepo yake ni kwenye mwili, mchafu wenye nywele chafu, kucha chafu,nguo chafu, humo hufanya makazi yake na kutaga mayai yake! Hufyonza damu kwa ajili ya chakula, na huwasha ngozi.. Ule muwasho wake ukijikuna upele hufuata.. Huleta na magonjwa mengine pia!

Kwa kifupi chawa si mdudu mwema maana ana hasara nyingi kuliko faida na mtu kufananishwa ama kuitwa chawa kama sio sifa mbaya basi ni dhihaka kubwa ama ni tusi au ni kejeli

Wahenga wana usemi wao kwa kutumia lahaja wanapotaka kumuelezea mtu mbaya.. Usemi huu asili yake ni chawa mwilini... Unasema hivi! Kikulacho ki nguoni mwako!

Nilipomsikia bi mkubwa akisema ana chawa wake niligutuka kwa mshtuko na fadhaa kubwa, maana kila kinachoonekana kwa macho ya nyama kina replica ya kiroho!

giphy.gif


Happy new year BELOVED TANGANYIKA
Mama kweli anao chawa tena wanene. Unadhani akina January Makamba, Livingstone Lusinde, Msukuma, Mwigulu Nchemba, Abdulrahaman Kinana, Rostam Aziz, Zitto Kabwe, Freeman Mbowe, Shaka Hamdu Shaka, Pindi Chana, Profesa Paramagamba Kabudi, William Lukuvi na wengine wengi ni nini bila kumsahau chawa mkubwa wao Yusufu Makamba?
 
Mama kweli anao chawa tena wanene. Unadhani akina January Makamba, Livingstone Lusinde, Msukuma, Mwigulu Nchemba, Abdulrahaman Kinana, Rostam Aziz, Zitto Kabwe, Freeman Mbowe, Shaka Hamdu Shaka, Pindi Chana, Profesa Paramagamba Kabudi, William Lukuvi na wengine wengi ni nini bila kumsahau chawa mkubwa wao Yusufu Makamba?
Lakini sasa imekuwa rasmi lakini je chawa hawa wa mama
Ni kikundi?
Kina uongozi?
Kinafadhiliwa na nani?
Kina malengo gani? Nk nk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom