Hii mbona sio Kagera ninayoifahamu? Kuanzia ardhi, uoto na mazao yaliyo around haviendani kabisa na jimbo letu!
Naona amepata muda mzuri kuwahudumia wananchi wake kwa ukaribu kabisa!
![]()
mimi dodo zake! kama kigoliNaona amepata muda mzuri kuwahudumia wananchi wake kwa ukaribu kabisa!
![]()
Yupo peku,Kura zinatafutwa kwa mbinu tofauti...
Ha ha ha hataki kinga? Je uzee huu akinasa?...Na anapenda pekuuu huyu mamaaaa..