Lakini mbona hicho kibanda kwa mandhali yake ni kama kiko kwenye eneo la shamba lake la KYAMUYOLWA au naye ni victim wa forced displacement katika eneo lake?
Mwanamama na mhanga wa escrow Tibaijuka ajitoa kusaidia masikini kijijini
.Mwaka wa uchaguzi huu.
Haya ni mambo ambayo tunapaswa kutegemea kuyaona na kwa kweli haya ni madogo, tutashuhudia mengi na makubwa kutoka kwa 'wanasi-hasa' wengineo.
Acha umbea mwanaume!HATA SISI TUSIO NA NAFASI, TUKIENDA VIJIJINI HUWA TUNAWATEMBELEA NA KUWASALIMIA WANAKIJIJI WENZETU HASA WALIOKUTWA NA MISIBA,MAJANGA NA MASIKINI.KILA ATAKALOFANYA WEWE UNALETA HABARI HUMU?UTAKUWA MMAMA MBEA, ULITAKA ALALE,AJINYONGE AU NINI HASA??
Mwanamama na mhanga wa escrow Tibaijuka ajitoa kusaidia masikini kijijini
Acha umbea mwanaume!HATA SISI TUSIO NA NAFASI, TUKIENDA VIJIJINI HUWA TUNAWATEMBELEA NA KUWASALIMIA WANAKIJIJI WENZETU HASA WALIOKUTWA NA MISIBA,MAJANGA NA MASIKINI.KILA ATAKALOFANYA WEWE UNALETA HABARI HUMU?UTAKUWA MMAMA MBEA, ULITAKA ALALE,AJINYONGE AU NINI HASA??