Mama Akiwajibika Jimboni Kwake !

Mama Akiwajibika Jimboni Kwake !

hela ikizidi kwenye account kwa gafla gafla hupekekea kuchanganyikiwa pia
 
Mtu mwelewa Kufanya mambo ya kijinga naona Kama naaibika Mimi kabla Yake. Kuchanganyikiwa husababisha watu wenye elimu Kufanya mambo ya Aibu Na kishenzi. Nilishasema huyu mama amezungukwa Na ex-Usalama wa Taifa wanaomvuruga Na kumpatia ushauri unaomdidimiza kila siku. Mwisho hata kale Ka-regitimacy kalikobakia katayeyuka atabakia Buyu la Nchi.
Mtu anaweka Picha ya Mbozi anadai bukoba. Hii bukoba isiyo Na ndizi Na matoke imeibuka lini. Mambo ya Aibu sana haya. Mabaradhuli waliokatika nyaya za Aibu ndio wanaoweza Fanya hivi sio msomi. HATA ukivurugwa kiasi gani lakini Bado huwezi Fanya mambo ya kujidhalilisha..! Historia yako utainajisi bure
 
Hapa sijamwelewa kwa kweli unafikiri ni nini kinaendelea hapa?na hii picha aliyenitumia hajataka kunielewesha kuwa Mama alikuwa anaenda wapi?


attachment.php


 

Attachments

  • Tibaijuka.jpg
    Tibaijuka.jpg
    47.5 KB · Views: 1,565
Hahaha Dotto Mnzava wewe ni shidaaaaaaaaaaaaaa mama Katoka kukagua hekar zake 5000 ambazo atajenga akistaafu.... au atakuwa katoka kurenew licence.
 
Last edited by a moderator:
Hahaha Dotto Mnzava wewe ni shidaaaaaaaaaaaaaa mama Katoka kukagua hekar zake 5000 ambazo atajenga akistaafu.... au atakuwa katoka kurenew licence.
 
Last edited by a moderator:
Ni kawaida sana ukizingatia unapokuwa unaamua kulaba olweya ni lazima huwe hivi make kule mahome kabla ya kijiji unatakiwa kuvuka MTO ama tingatinga Fulani la maji,kwahiyo kutia viatu kwapani it isn't a big deal
 
Anakwenda kwa Dr. Tibashubanyuma kutafuta rubisi apunguze mawazo
 
Anakwenda kwa sangoma ,ndo mana yupo peku na gari kaacha nyuma pale.
 
Ni kawaida sana ukizingatia unapokuwa unaamua kulaba olweya ni lazima huwe hivi make kule mahome kabla ya kijiji unatakiwa kuvuka MTO ama tingatinga Fulani la maji,kwahiyo kutia viatu kwapani it isn't a big deal

Sawa Mkuu.
 
Back
Top Bottom