Malori ruksa kubeba watu kwenye kampeni za CCM

Malori ruksa kubeba watu kwenye kampeni za CCM

Leo unafuatwa mpaka mlangoni
 

Attachments

  • 1440324428265.jpg
    1440324428265.jpg
    61.6 KB · Views: 188
Ccm rahaa
 

Attachments

  • 1440324525444.jpg
    1440324525444.jpg
    31.3 KB · Views: 171
si wamepiga marufuku watu kwenda kwenye mikutano kwa makundi !?
hawa walafi bana..
wataua sana mwaka huu lakini kung'oka lazima.

Wao wanaanza suburi situtamalizia wasije wakaanza kupiga makekelele naapa tutaonana wabaya sikuhiyo.
 
Ndiyo maana mikutano yao huwa wamevaa kijani wote.
 
Wakumbuke tu kuwarejesha makwao mara baada ya mkutano kwisha...
Mara nyingi wana kawaida ya kuwatelekeza waletwao toka vijijini....
 
October 25 itakua mwisho wa uhuni huu.

attachment.php

Nyumbu.kwa kulalamika bana! Kuna genge.la Lowasa linasafirishwa na kukesha viwanjani siku moja kabla kama walivyokesha Arusha,viwanja vya furahisha Mwanza na kwingineko hilo hamlisemi!
 
Kwa sasa wanaona kimekulakwao wanachukuwa mastaa Wa bongo movi na bongo fleva kusudi wapate watu maana wana julikana ?!!!!
 
Wanaofika kwenye mkutano kwa kutembea au kubebwa kwenye malori siku ya mwisho wote ni wapiga kura.

Nyie mbona mmekuwa mkisomba watu hatusemi?.
 
Hapo ndipo UKAWA wanaposhindwa

Ni ujinga kuwapiga vijembe CCM kuwa wanabeba watu kwenye mafuso. Vipi mmeshatafakari kwanini watu wanakubali kupanda kwenye hayo mafuso.

Wengi mtajibu kuwa wamepewa fedha hawawezi kuziacha.

Haya itakuwaje kama kwenye uchaguzi watapewa pesa na wali waipigie kura CCM na wakafanya hivyo? Mtalaumu kuwa wamenunuliwa? Je nyie mmechukua hatua gani kuwaelimisha wasinunuliwe?

Poor reasoning yenu itawafanya daima mshindwe maana mnaongozwa na mihemko zaidi na sio uhalisia wa mambo.

Wewe umepewa bei gani Leo?
Au ni pilau tu?
 
Hili tangazo la Magufuli hapa JF linaleta kichefuchefu.
 
View attachment 279375
Huu ni uhuni ulipitiliza. We Kova upo wapi na jeshi lako la polisi? Si wewe uliyesema jeshi la Polisi limepiga marufuku vyama vya siasa kubeba watu kwenye malori? Au hawa wanaopandishwa kwenye malori nchi nzima kuja jangwani kama picha inavyoonyesha ni KUKU? Tuambie sasa au umma wa nchi hii ifanye kazi ya trafiki ya kusimamisha malori haya na kuwatimua KUKU waliopandishwa!! Tafadhali KOVA na serikali ya Kikwete, nchi hii ya Tanzania ni yetu sote. Msituletee machafuko siku ya kwanza tu ya kuanza kampeni. Kama mmeshindwa uongozi kaeni kando mapema na uchaguzi wa Oktoba hauna haja kufanyika maana sasa ni dhahiri CCM na serikali yake dhaifu mno imeshindwa kuongoza nchi. Tuipe nchi chama mbadala bila kupoteza fedha za kugharamia shughuli za uchaguzi.
Mbona na nyie hapa Mwanza mmliwasomba?
 
Polisi walisema marufuku kubeba watu kwenye Malori ya mizigo,sasa hii nini?labda Kova ana majibu.
 
Back
Top Bottom