IGUDUNG'WA
JF-Expert Member
- Oct 22, 2011
- 2,071
- 1,317
hata mimi nimetandika buku15 na costa lao sijapanda lilikuwa linatokea pugu kajiungeni
Kwa tabia hii ndio maana hawaamini mafuriko ya CDM na kudai kuwa ni photoshopWanaandaa mafuriko !!!
kwa wataalamu wa photography interpretation hii si picha ya tukio harisi la leo ..haviendani kabisa
Kwa wataalamu wa photography interpretation hii si picha ya tukio harisi la Leo ..haviendani kabisa
View attachment 279375
Huu ni uhuni ulipitiliza. We Kova upo wapi na jeshi lako la polisi? Si wewe uliyesema jeshi la Polisi limepiga marufuku vyama vya siasa kubeba watu kwenye malori? Au hawa wanaopandishwa kwenye malori nchi nzima kuja jangwani kama picha inavyoonyesha ni KUKU? Tuambie sasa au umma wa nchi hii ifanye kazi ya trafiki ya kusimamisha malori haya na kuwatimua KUKU waliopandishwa!! Tafadhali KOVA na serikali ya Kikwete, nchi hii ya Tanzania ni yetu sote. Msituletee machafuko siku ya kwanza tu ya kuanza kampeni. Kama mmeshindwa uongozi kaeni kando mapema na uchaguzi wa Oktoba hauna haja kufanyika maana sasa ni dhahiri CCM na serikali yake dhaifu mno imeshindwa kuongoza nchi. Tuipe nchi chama mbadala bila kupoteza fedha za kugharamia shughuli za uchaguzi.
Wengine Wana bebwa toka Huku ikwiriri-kwenye MA costa
October 25 itakua mwisho wa uhuni huu.
![]()
Nimepishana na foso ipo speed kama inatoka nje ya sayari tunayoishi huku chalinze chonde chonde ccm mtauwa watu madereva wa fuso washapiga viroba !!