Fuso fuso wamekuwa ndizi au magunia ya mpunga!!?Ulitaka wabebwe kwenye treni?
Unataka huo mkutano wahutubie mawe? Waache wafanye siasa zao.
CCM bila kubeba watu kwenye malori hawapati hadhira!!
Tunawasubiri kwenye Sanduku la kura!!
Fuso fuso wamekuwa ndizi au magunia ya mpunga!!?
Au ngombe jamani haki za binaadamu ccm ziangaliyeni jamani watu wanajazwa kama maviroba kwenye fuso!!!
We jamaa unanikosha sana, kwa jinsi ulivyo-change. I wish umehama na watu wa kutosha, hongera sana.
wanaandaa mafuriko ya upepo.Kikwete alikuja na majina mfukoni by Kinana
Kwa wataalamu wa photography interpretation hii si picha ya tukio harisi la Leo ..haviendani kabisa