Malkia was Uingereza anamiliki almasi mbili kubwa zaidi kuwahi kupatikana Duniani

Ben Zen Tarot

JF-Expert Member
Dec 13, 2014
3,910
6,704
Ya kwanza, inayojulikana kama "NYOTA KUBWA YA AFRIKA" (THE GREAT STAR OF AFRICA) imewekwa juu ya fimbo yake ya ufalme, nyingine inayojulikana kama "NYOTA YA PILI YA AFRIKA" (THE SECOND STAR OF AFRICA) imewekwa juu ya Taji lake. Zote mbili ziligunduliwa (lugha sahihi, kuibwa) nchini Afrika Kusini na zina thamani ya DOLA BILIONI TANO.

FB_IMG_1620706788453.jpg
 
... weka picha ya fimbo yake ya utawala tuone hizo almasi zenye thamani ya dola bilioni 5! Ila nina mashaka kama unafahamu maana ya dola 5 bn unless ni Zim dollar.
 
Back
Top Bottom