Mizizi JF-Expert Member Joined Mar 8, 2008 Posts 1,275 Reaction score 391 Apr 4, 2011 #21 babu akitapeli wagonjwa
Mizizi JF-Expert Member Joined Mar 8, 2008 Posts 1,275 Reaction score 391 Apr 4, 2011 #22 komedi said: cpendi kuona...Simba wakif****wa na kuto***wa na TP Mazembe.... Yaani wakifungwa na kutolewa. Lakini nimeona. Click to expand... hapa! Sijui mbona hizi nukta za chini zinazidi maneno tajwa?
komedi said: cpendi kuona...Simba wakif****wa na kuto***wa na TP Mazembe.... Yaani wakifungwa na kutolewa. Lakini nimeona. Click to expand... hapa! Sijui mbona hizi nukta za chini zinazidi maneno tajwa?
Horseshoe Arch JF-Expert Member Joined Aug 10, 2009 Posts 13,402 Reaction score 12,791 Apr 4, 2011 #23 ....Watu wakitumia vibaya uhuru wa kutoa maoni kwa kusema hovyo hovyo!
S Slm Senior Member Joined Jan 26, 2011 Posts 103 Reaction score 4 Apr 4, 2011 #24 Mshikaji akimtaka demu wa mwenzake
Eeka Mangi JF-Expert Member Joined Jul 27, 2008 Posts 3,173 Reaction score 486 Apr 4, 2011 #25 viongozi wa nchi tajiri kama Tanzania wakiwaambia wananchi wao ni maskini
U uporoto01 JF-Expert Member Joined May 23, 2008 Posts 4,698 Reaction score 1,429 Apr 4, 2011 #26 Maelfu ya watu wakiamini kunywa kikombe kimoja kitawaponya saratani na ukimwi.
Mzalendo Mkuu JF-Expert Member Joined Nov 2, 2010 Posts 735 Reaction score 191 Apr 4, 2011 #27 Katiba ikiandikwa kwa matakwa ya watawala badala ya matakwa ya wananchi
Wisdom JF-Expert Member Joined Sep 28, 2010 Posts 498 Reaction score 127 Apr 4, 2011 #28 CCM ikiendelea kukaa madarakani
Sita Sita JF-Expert Member Joined Aug 25, 2008 Posts 1,451 Reaction score 629 Apr 4, 2011 #29 Watu wanaitwa wana akili kwa kukariri vitabu.
Sigma JF-Expert Member Joined Feb 26, 2011 Posts 5,007 Reaction score 1,259 Apr 4, 2011 #30 Mr. Cool said: Sipendi kuona....... Click to expand... Mdada anavaa bega wazi na msitu kwapani.
Sigma JF-Expert Member Joined Feb 26, 2011 Posts 5,007 Reaction score 1,259 Apr 4, 2011 #31 trafiki ananisimamisha barabarani
Wakumwitu JF-Expert Member Joined Jan 22, 2011 Posts 370 Reaction score 82 Apr 4, 2011 #32 Mwanamke akizaa nje ya ndoa na kumsingizia mumewe amefanana na mtoto.
klorokwini JF-Expert Member Joined Dec 2, 2009 Posts 8,647 Reaction score 5,147 Apr 4, 2011 #33 klorokwini anapigwa ban