Ndugu Wana bodi kitendo Cha serikali ya CCM kuanza kulipa madeni ya wafanyakazi na kuwapandisha madaraja inadhihirisha wazi kuwa huu Ni ukiukwaji wa maadili na kanuni za uchaguzi mkuu.
Nawakumbusha wafanyakazi wote kuwa hizi ni dharau kubwa Sana kwa miaka mitano mmesoteshwa halafu leo anajifanya kutambua umuhimu wenu eti kwa sababu tu anataka kura zenu,. Ukweli Ni kwamba Mara tu baada ya uchaguzi ,mkisha mpatia kazi hata wakumbuka kabisa.
Ebu muwakumbuke wenzenu mliofanya nao kazi na wamestaafu bila ya kuongezwa mshahara wameathirika kwa kiwango gani.
Huu si muda Tena wa wafanyakazi wa nchi hii kugeuzwa Kama karai linalo tumika kubebea zege kipindi Cha ujenzi Mara tu ujenzi unapokuwa umemalizika hutupwa na kusahaulika, nalitakuja kumbukwa kipindi ujenzi mwingine unapoanza, hapo Lita safishwa na kuonekana la thamani.
Huu Ni upuuzi kwa wafanyakazi na dharau isio pimika. 28/10/2020 kila mwananchi wa nchi hii anatakuwa na Jambo lake nalo si kingine isipokuwa iwe Ni kuikataa CCM kwenye sanduku la kura.
Iwe Ni siku ya ukombozi kwa Tanzania mpya.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Nawakumbusha wafanyakazi wote kuwa hizi ni dharau kubwa Sana kwa miaka mitano mmesoteshwa halafu leo anajifanya kutambua umuhimu wenu eti kwa sababu tu anataka kura zenu,. Ukweli Ni kwamba Mara tu baada ya uchaguzi ,mkisha mpatia kazi hata wakumbuka kabisa.
Ebu muwakumbuke wenzenu mliofanya nao kazi na wamestaafu bila ya kuongezwa mshahara wameathirika kwa kiwango gani.
Huu si muda Tena wa wafanyakazi wa nchi hii kugeuzwa Kama karai linalo tumika kubebea zege kipindi Cha ujenzi Mara tu ujenzi unapokuwa umemalizika hutupwa na kusahaulika, nalitakuja kumbukwa kipindi ujenzi mwingine unapoanza, hapo Lita safishwa na kuonekana la thamani.
Huu Ni upuuzi kwa wafanyakazi na dharau isio pimika. 28/10/2020 kila mwananchi wa nchi hii anatakuwa na Jambo lake nalo si kingine isipokuwa iwe Ni kuikataa CCM kwenye sanduku la kura.
Iwe Ni siku ya ukombozi kwa Tanzania mpya.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.