Loeb S Mpalasinge
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 1,792
- 1,748
Hawa ni wengi sana.
Nimecheka sana Mkuu.
Hawa ni wengi sana.
hahahahahaaaa,mkuu kina winnie si watu wazuri hawa,always ni shake well before use.Umenichekesha kweli eti mimba zako katoa tena kwa ushawishi wako na bado kakupiga kibuti...halafu huo ulemavu wa kizazi ulomuachia anaenda kuhangaika nao mtu mwengn huko mbele ya safari.Kweli kabisa mkuu, katoa mimba zangu mbili japo kwa ushawishi wangu mwisho wa siku mi ndio nimekula kibuti. Hapo wa kulaumiwa nani? Kwanza mimi ndio namlaani kila siku, I had my future in her kaniharibia mipango yangu. Mshenzi sana Winnie
Aisee mkuu kwanza hiyo dhambi ya kushawishi na kushiriki kuua katubu mara mojaKweli kabisa mkuu, katoa mimba zangu mbili japo kwa ushawishi wangu mwisho wa siku mi ndio nimekula kibuti. Hapo wa kulaumiwa nani? Kwanza mimi ndio namlaani kila siku, I had my future in her kaniharibia mipango yangu. Mshenzi sana Winnie
Ni kweli mkuu yani kuna watu pasua kichwa hatariiii. Unaweza kuwa mwendawazimu mpaka watu wakakushangaa usipokuwa makini.Nimecheka sana Mkuu.
Mkuu Winnie alinizingua, alihisi sitamuoa wakati kiukweli nilitaka nimuoe kabisaaa. Hicho kilema nilishamuambia niko radhi kukibeba mimi mwenyewe. Siku kadhaa baada ya kunipiga kibuti nilimuambia hivyo hivyo, namuonea huruma endapo hatazaa, na ikitokea sijui itakuaje? Angeacha tu mzigo wangu nibebe mwenyewe tu.hahahahahaaaa,mkuu kina winnie si watu wazuri hawa,always ni shake well before use.Umenichekesha kweli eti mimba zako katoa tena kwa ushawishi wako na bado kakupiga kibuti...halafu huo ulemavu wa kizazi ulomuachia anaenda kuhangaika nao mtu mwengn huko mbele ya safari.
Ahsante.
Wanawake ndo wanaongoza kuwatenda wanaume, usiwatetee kisa wewe ni mwanamke piaMchunguze kwanini kabadilika. Utakuta kuna mwanaume alimzingua. Japo kuna wengine pasua kichwa ila sio wote. Wameumbwa kuwa wapole.
Kwa walio kwenye ndoa, wanaume ndio wanaongoza kuwatenda wake zao. Huku kwetu tusiooa, wanawake wanaongoza kutupiga vibutiWanawake ndo wanaongoza kuwatenda wanaume, usiwatetee kisa wewe ni mwanamke pia
Asante kwa kusoma na kuipenda.Nimeipenda sana hii,kweli wewe ni Galacha Maestro
Cha Tanzania.hao wanawake wataratibu namna hiyo mnaoweza kudumu miaka mitano wanapatikana kijiji gani?!
Asante kwa maoniii... yako.Huwezi kutoa hukumu kwa suala la mapenzi kwa kutumoa mifano michache uliuowahi kushuhudia.Inahitaji kutafiti kwa kina.Hata hivyo mlengo wakovunaashiria kuwa baadhi hiathirika na kujikuta wakifanya malipizi kwa wasio wahusika iwe kwa bahati mbaya au kusudi
HILO si jambo la kuendekezwa hata kidogo.
Pole kama yalikukuta
DuuuhBila shaka mtoa mada ndo yamekukuta haya. Pole mwaya wanaume ni wadanganyifu