MALIASILI UPDATES: Makinda Aipangua hoja ya dharura ya Wenje kuhusu umeme

Mama ameona amwokoe Ngeleja kwa kuwa amekalia kuti kavu, maana aliachia umeme kwa muda ili bajeti yake ipite, angeruhusu mjadala ni wazi vijana wangeruka nae. Hivi jk anasubiri nini kumpiga chini? haamini kama mshkaji kachemsha?
 
<span style="font-family: times new roman"><font size="4"><font color="#ff0000"><b><i>Breaking News</i></b>: Mwanza maeneo sugu naambiwa Umeme umewaka baada ya Mkwara Mzito wa Wenje leo Asubuhi Bungeni...Nimeshapata full Detail nasubiri idhini ya Mkuu INVISSIBLE Tujadili huu uozo</font></font></span>
<br />
<br />

furedwa RFA asubui katowa kituko amesema
Kulikuwa na watu3 mchina mjapani na mtanzania

Mchina akaanza kumwaga sela kwetu kunamtu hakuwa na mikono tukachonga mikono ya bandia akaenda kushindana masumbwi akashinda

Mjapani naye sisi kunamtu hakuwa na migu yote tukachonga migu akaenda kushindana kukimbia akashinda

Zam ya mbongo yeye akaanza na kicheko cha zarau nyie madogo hayo sisi kunamtu hakuwa nakicha tukatafuta nazi akapachikwa anaendelea kuishi anacheo cha wazili
furedwa akasema sitamtaja jina mtamjuwa wenyewe alichofanya akaweka tangazo ra meneja tanesiko mwanza akafatisha wimbo umeme na maji tanzania kelo

hayo ni ya furedwa na rfa siyakwangu mufiyakicheko
 
Bi Kiroboto alishaushindwa Uspika aliopewa na mafisadi siku nyingi tu!
 
Hawa wabunge wengine kama huyu Wenje naona wanajitafutia umaarufu wa kijinga. Swala la umeme wa dharura limeshajadiliwa na mitambo imepigwa picha inafungwa Ubungo na Waziri husika kisha sema mpaka December ndio ukali wa mgao utakwisha! Sasa huyu Wenje anataka blah blah za nini?
<br />
<br />
Hiyo ni kutokana na ufinyu wa kufikiri wa magamba,yaani watu wako gizani siku ya 3 sijui ya 5 leo,halafu tukae kimya mpaka desemba eti ndo walivyosema,na wasiwasi na unavyoongoza familia yako!
 
Hawa wabunge wengine kama huyu Wenje naona wanajitafutia umaarufu wa kijinga. Swala la umeme wa dharura limeshajadiliwa na mitambo imepigwa picha inafungwa Ubungo na Waziri husika kisha sema mpaka December ndio ukali wa mgao utakwisha! Sasa huyu Wenje anataka blah blah za nini?
<br />
<br />
inavyoonesha una cheti cha milembe
 
Wenje hatafuti umaarufu hapa. LAZIMA awasemee wapiga kura wake, period.
Jiji kukosa umeme na maji kwa siku tatu mfululizo sio suala la ukali wa mgao. Hili ni janga. Hatua za kushughulikia janga hili ndo zinazotakiwa sasa... Ukali wa mgano is out of point.
Hongera WENJE KOMAA MWANANGU.

Sasa kama anawaonea huruma wapiga kura wake kwa nini aiwafungie mitambo mipya ya kuzalisha umeme akaiendesha yeye, si soko huri siku hizi? na sheria imepitishwa hata watu binafsi wanaweza wakazalisha umeme na kuuza. Anangoja nini? atuondolee za kuleta hapa au angoje mpaka disemba, mgao ndio huo unatatuliwa na mitambo tumeiona ikifungwa Ubungo.

Nyie siku tatu mnalalamika kuna Watanzania 80% hawajui umeme toka wanazaliwa mpaka leo. Subirini.
 
<br />
<br />
Hiyo ni kutokana na ufinyu wa kufikiri wa magamba,yaani watu wako gizani siku ya 3 sijui ya 5 leo,halafu tukae kimya mpaka desemba eti ndo walivyosema,na wasiwasi na unavyoongoza familia yako!

80% ya Watanzania toka Kuumbwa kwa dunia hawana umeme makwao. Leo siku tatu mnajidai kupiga kelele, na wala 80% wafanye nini?

Kama huna umeme tafuta jenereta, solar, umeme wa mavi, njia mbadala nyingi tu. Usiwe tegemezi sana, wewe unaifanyia nini Serikali yako zaidi ya kulalama tu? Onesha mfano.

Mimi nakaa shamba mwaka wa 12 sasa, sina umeme wa Tanesco na kwangu hukuti sina umeme, nimeweka njia zote mbadala uzijuwazo wewe na zingine huzijui. Wacheni kubweteka.
 
Muda mfupi uliopita Mbunge wa Nyamagana CDM Mh. Ezekiah Wenje amenukuu kifungu kinachoruhusu kujadiliwa kwa jambo la dharula katika Nchi na kumtaka Spika kuuahirisha Mjadala wa Wizara ya Maliasili na Utalii na Badala yake kuruhusu Mjadala wa Suala la Dharula la Umeme.<br />
<br />
Umeme umekuwa kadhia kubwa kwa sasa na shuguli nyingine zinazotegemea Umeme zimekwama jumla kama usukumaji wa Pampu za maji, uzalishaji viwandani, usagishaji wa nafaka na masuala maengine mengi ya kiuchumi.<br />
<br />
Katika Hali isiyokuwa ya kawaida Spika anaitaka serikali kuja na Majibu ya Uhakika...Yaaaapi hayo????????????
<br />
<br />
Bikiroboto anatufanyia danganya toto ya kutudanganya watu na akili zetu hakuna cha jibu kuja wala nini imeishia kiivyo
 
Jana nilipata Bahati ya kusikiliza Radio Kiss FM inayotangaza kutoka Mwz mjadala ulikuwa kuhusu hali ya Umeme na maji huko Mwanza. Jiji limekuwa zizi Ndoo na mabeseni yanabebwa kila pahala huko kwa sasa.<br />
<br />
Nimechek na mdau huo Rocky City ananiambia baadaya Kelele za Kiss Maji yametoka saa 4 usiku na mpaka sasa yapo...Sasa Idara ya Maji walikuwa wapi mpaka kelele hizo na News ya jana Star TV usiku hii ni aibu<br />
<br />
NGUVU ya UMMA Mbele kwa mbele
<br />
<br />
Hii ni dili ambalo limesukwa na CCM kukandamizi maeneo waliyochukua CDM. This is kind of democras we have TZ
 
Hawa wabunge wengine kama huyu Wenje naona wanajitafutia umaarufu wa kijinga. Swala la umeme wa dharura limeshajadiliwa na mitambo imepigwa picha inafungwa Ubungo na Waziri husika kisha sema mpaka December ndio ukali wa mgao utakwisha! Sasa huyu Wenje anataka blah blah za nini?
wewe Zomba hauko mwanza (mie niko Mwz) leo siku 4 bila umeme ucku n a mchana ndio maana unasema hayo. Wenje (MB) yuko sahihi kwani tunateseka na hao mawaziri walisema wameongeza MW zaidi ya 100 kwenye grid sasa zimepungua zaidi ya 100 ni lazima waeleze. Kwani wamefanya usanii baada ya budget kupitishwa tu wamekata umeme siyo Mgawo.
 
<br />
<br />

furedwa RFA asubui katowa kituko amesema
Kulikuwa na watu3 mchina mjapani na mtanzania

Mchina akaanza kumwaga sela kwetu kunamtu hakuwa na mikono tukachonga mikono ya bandia akaenda kushindana masumbwi akashinda

Mjapani naye sisi kunamtu hakuwa na migu yote tukachonga migu akaenda kushindana kukimbia akashinda

Zam ya mbongo yeye akaanza na kicheko cha zarau nyie madogo hayo sisi kunamtu hakuwa nakicha tukatafuta nazi akapachikwa anaendelea kuishi anacheo cha wazili
furedwa akasema sitamtaja jina mtamjuwa wenyewe alichofanya akaweka tangazo ra meneja tanesiko mwanza akafatisha wimbo umeme na maji tanzania kelo

hayo ni ya furedwa na rfa siyakwangu mufiyakicheko

Hata Kiss FM walifanya kazi nzuri sana Juzi jioni pia Star TV hawa jamaa hawendi mpaka watiwe jiti
 
Hawa wabunge wengine kama huyu Wenje naona wanajitafutia umaarufu wa kijinga. Swala la umeme wa dharura limeshajadiliwa na mitambo imepigwa picha inafungwa Ubungo na Waziri husika kisha sema mpaka December ndio ukali wa mgao utakwisha! Sasa huyu Wenje anataka blah blah za nini?

Sidhani kama unajua unachokiongea. Nafikiri hujui toka lini tumekuwa tukipewa ahadi za kuwa tatitizo la umeme litakuwa historia ifikapo tarehe fulani na inapofika wakati huo hali huwa mbaya zaidi. Kinachokufanya uamini kuwa kutakuwa na umeme December ni hizo picha? Picha za kitu ambacho hakijafanyiwa kazi? Kwataarifa yako majuzi nimeongea na mdau mmoja pale ubungo. Alichoniambia ni kuwa hizo zote ni porojo na siasa ili kwasasa mnyamaze. Hiyo December ni assumption kwamba mvua zitakuwa zimenyesha na maji kuongezeka na kupata umeme wetu ule wa asili. Usikubali kutanganywa kirahisi namna hiyo
 
Hakuna Gesi ya kuendesha mitambo. Gesi huko inakochimbwa inaonekana kama imekwisha. Kama kutakuwa na Umeme December, ni umeme wa maji, sio umeme wa jitihada za !
 
wenje tunashukuru kwa kufikisha kilio cha wanajimbo na wana mwanza ..... lakini bado tunahitaji kuelewa sababu ya mateso hayo
 
wenje tunashukuru kwa kufikisha kilio cha wanajimbo na wana mwanza ..... lakini bado tunahitaji kuelewa sababu ya mateso hayo

Nasikia toka jana mchana mambo saafi. Umeme kwa kwenda mbele Mza. Zinakuja MegaWatt 20 sasa so sangara wa Oven watapatikana bila shaka
 
wasiwasi wangu ni kwamba hawa watu watakuwa wanapanga jambo na
1 kwa nini haya mambo yanatokea walipo wabunge wa upinzani????
2.kwanini watu wakipiga kelele ndo umeme na maji vinapatikana
3.nani ana jeuri hiyo ya kuyumbisha na kutesa wananchi na jeuri anaitoa wapi?
4.kwanini siku chache kabla ya bajeti ya pili umeme uliwashwa kwa nguvu zote ulitoka wapi??

nahisi kuna mengi zaidi ya sababu zinazotolewa!ila ndege mjanja hunaswa na tundu bovu! ipo siku mambo yatawekwa hadharani na ole wao wanaojifanya vibaraka wa wanaojiita mabosi kama hawaamini katafute mfano wa rwanda kilichojili juu ya wale waliokuwa wanatumiwa!
 
Back
Top Bottom