Hawa wabunge wengine kama huyu Wenje naona wanajitafutia umaarufu wa kijinga. Swala la umeme wa dharura limeshajadiliwa na mitambo imepigwa picha inafungwa Ubungo na Waziri husika kisha sema mpaka December ndio ukali wa mgao utakwisha! Sasa huyu Wenje anataka blah blah za nini?
Hawa wabunge wengine kama huyu Wenje naona wanajitafutia umaarufu wa kijinga. Swala la umeme wa dharura limeshajadiliwa na mitambo imepigwa picha inafungwa Ubungo na Waziri husika kisha sema mpaka December ndio ukali wa mgao utakwisha! Sasa huyu Wenje anataka blah blah za nini?
Anatafuta umaaruf kwa nani hasa? Kwa mkeo?
Jamani kwa hili mnamuonea spika.Hajatupilia mbali hoja ya Wenje bali amemtaka waziri mhusika aje na majibu ya kueleweka baadaye kuhusu tataizo hilo la umeme.Na ndio maana wapinzani wote walimpigia makofi spika baada ya kutoa uamuzi huo.Nadhani mtoa mada hajamuelewa vizuri spika.
narudia kusema kama kuna mbunge wa chadema aliupata ubenge akajua kazi imekwisha alikosea au anakosea kazi ndiyo kwanza imeanza Wenje komaa..
Hawa wabunge wengine kama huyu Wenje naona wanajitafutia umaarufu wa kijinga. Swala la umeme wa dharura limeshajadiliwa na mitambo imepigwa picha inafungwa Ubungo na Waziri husika kisha sema mpaka December ndio ukali wa mgao utakwisha! Sasa
huyu Wenje anataka blah blah za nini?
Breaking News: Mwanza maeneo sugu naambiwa Umeme umewaka baada ya Mkwara Mzito wa Wenje leo Asubuhi Bungeni...Nimeshapata full Detail nasubiri idhini ya Mkuu INVISSIBLE Tujadili huu uozo
Ndio maana CDM wapo Bungeni. Kama wangekuwa Magamba peke yao, Mwanza umeme mngeuona baada ya mwezi.
Chadema ni Chama Dume, daima kimeishika CCM masuburini, hawafurukuti!
Hivi Mtu ukivaa yale Makombati ya Chadema, inakuwaje unakuwa so bright?! Na pia ukivaa yale Magamba ya CCM unakuwa so dull?! Au magamba yana-brainwash?!
Viva Chadema!!
Naanza kuamini aliyesema kuwa kuna hujma kwenye majimbo ya CDM ili siku ya campaign waseme mbunge wenu kashindwa kuwaletea huduma hzi!!
Hahahaaa, wananchi mfanye maandamano ya kumngóa speaker? Too funny!! Yaani msiandamane kumngóa rais mliyempigia kura, mnataka mmngóe speaker ambaye hata hamkumchagua?spika hana huruma na wananchi...hatufai tumng'oe huyu mama
Muda mfupi uliopita Mbunge wa Nyamagana CDM Mh. Ezekiah Wenje amenukuu kifungu kinachoruhusu kujadiliwa kwa jambo la dharula katika Nchi na kumtaka Spika kuuahirisha Mjadala wa Wizara ya Maliasili na Utalii na Badala yake kuruhusu Mjadala wa Suala la Dharula la Umeme.
Umeme umekuwa kadhia kubwa kwa sasa na shuguli nyingine zinazotegemea Umeme zimekwama jumla kama usukumaji wa Pampu za maji, uzalishaji viwandani, usagishaji wa nafaka na masuala maengine mengi ya kiuchumi.
Katika Hali isiyokuwa ya kawaida Spika anaitaka serikali kuja na Majibu ya Uhakika...Yaaaapi hayo????????????
Umeme sio issue ya dharula tena kwa serikali ya Tanzania.Yaani kujadili swala la mgao wa umeme kama dharula ni sawa na kujadili ugonjwa wa ukimwi kama dharula! kwa serikali hii tuliyonayo tatizo la umeme na maji yatakuwepo milele na milele amina.
<span style="font-family: times new roman"><font size="4"><font color="#ff0000"><b><i>Breaking News</i></b>: Mwanza maeneo sugu naambiwa Umeme umewaka baada ya Mkwara Mzito wa Wenje leo Asubuhi Bungeni...Nimeshapata full Detail nasubiri idhini ya Mkuu INVISSIBLE Tujadili huu uozo
Hahahaaa, wananchi mfanye maandamano ya kumngóa speaker? Too funny!! Yaani msiandamane kumngóa rais mliyempigia kura, mnataka mmngóe speaker ambaye hata hamkumchagua?
Hawa wabunge wengine kama huyu Wenje naona wanajitafutia umaarufu wa kijinga. Swala la umeme wa dharura limeshajadiliwa na mitambo imepigwa picha inafungwa Ubungo na Waziri husika kisha sema mpaka December ndio ukali wa mgao utakwisha! Sasa huyu Wenje anataka blah blah za nini?