GHOST RYDER
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 1,025
- 475
<br />Kama wamekataa kuijadili bungeni, basi sisi tuingie mitaani.
GR Maji hakuna, huku maeneo ya Bwiru, Ilemela, Pasiansi, kirumba, kitangiri....inshort wilaya nzima ya Ilemela na Jiji zima siku ya tatu leo hakuna kitu kinaitwa Umeme, maji ya bomba wala saloon zinazofanya kazi! Tunashukuru Mungu hali ya ubaridi kwa muda wote huo kuoga tumesahau!
Kama wamekataa kuijadili bungeni, basi sisi tuingie mitaani.
Jamani kwa hili mnamuonea spika.Hajatupilia mbali hoja ya Wenje bali amemtaka waziri mhusika aje na majibu ya kueleweka baadaye kuhusu tataizo hilo la umeme.Na ndio maana wapinzani wote walimpigia makofi spika baada ya kutoa uamuzi huo.Nadhani mtoa mada hajamuelewa vizuri spika.
Hawa wabunge wengine kama huyu Wenje naona wanajitafutia umaarufu wa kijinga. Swala la umeme wa dharura limeshajadiliwa na mitambo imepigwa picha inafungwa Ubungo na Waziri husika kisha sema mpaka December ndio ukali wa mgao utakwisha! Sasa huyu Wenje anataka blah blah za nini?
Hawa wabunge wengine kama huyu Wenje naona wanajitafutia umaarufu wa kijinga. Swala la umeme wa dharura limeshajadiliwa na mitambo imepigwa picha inafungwa Ubungo na Waziri husika kisha sema mpaka December ndio ukali wa mgao utakwisha! Sasa huyu Wenje anataka blah blah za nini?
Me nawaaambieni pale bungeni kuna watu wanajiona wao ndio wao kwenye hivyo vyeo ili hali hawajui uwajibikaji wao tatizo kubwa hapa ni serikali kutowajibika kwa kipindi kirefu mkapa nchi ikumbwe na tatizo ndipo itajitokeza na kujifanya ina mikakati imala huku hakuna kitu
Dawa sisi ni Magogoni au Ikulu ya Dodoma period nchi ilisha washinda hawa wana CCM kabisa