KERO Maliasili mfumo wa maombi ya Vyuo una shida gani?

KERO Maliasili mfumo wa maombi ya Vyuo una shida gani?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Trainee

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2018
Posts
3,020
Reaction score
4,027
Nimeregister nikapewa username, password na control number ya malipo.

Baada ya kufanya malipo yakapokelewa na meseji nimepata kabisa lakini nikienda kulog in naletewa notification pale juu kwamba nifanye malipo!

Nikilog in mfumo hauendelei mbele wala haufunguki niweze kuingia kwenye akaunti yangu zaidi ya kuwekewa hiyo notification
 
Na mimi napata changamoto kwenye kutengeneza account ya OLAMS, kwenye kujaza details za mwanzo anaejua nakosea wapi anisaidie
 

Attachments

  • Account error.jpg
    Account error.jpg
    20.2 KB · Views: 21
Na mimi napata changamoto kwenye kutengeneza account ya OLAMS, kwenye kujaza details za mwanzo anaejua nakosea wapi anisaidie
Kiongozi hiyo ni changamoto ya mfumo tu wala siyo kosa lako. Hujakosea popote bali endelea kujaribu mara kwa mara itakubali tu mimi mwenyewe ilinifanyia hivyo hivyo kwenye heslb lakini baadae ikakubali
 
Back
Top Bottom