sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 8,082
- 7,454
Zibitisha sio maneno tuUmezoea Majina yenu ya sweken ya kina Maria ndala ndefu????
Kwa taarifa yako anaitwa Malia sio Maria
Zibitisha sio maneno tuUmezoea Majina yenu ya sweken ya kina Maria ndala ndefu????
Kwa taarifa yako anaitwa Malia sio Maria
Zibitisha sio maneno tu
Atakuwa anamwaga chozi mida hii.Hili ni pigo kwa Deogratious Kissandu
Ohoooooo!!!Ataliwa ndogo muda si mrefu
Wapo pia TSR, kwenye mitandao ya kijamii.Hv TMZ sindo shilawadu wa mambele?
Hakuna kitu naogopa kwenye JF kama kukurupuka.Ni Maria siyo Malia
Sigara bwege mkuuHata mimi leo nimevuta sigara, tena ile ya Bob Marley.
Hivi huyo swty wangu, Malia nywele zake au ndio zile za marehemu wa kihindi?
Poa, duh nae Obama alishindwa kweli kuzaa watoto 6!! Ila wanakufuru hawa.Hizo ni nywele zake mkuu, kumbuka babaake ni half white.
Ni Maria siyo Malia
YaaAtaliwa ndogo muda si mrefu
Wahuku kama wanaliwa ndogo na kubwaWatoto wa huko wanajitambua,
chuo atamaliza na kazi atapata na kuolewa ataolewa,
ngoja hawa wa huku waige sasa uone moto wake.