brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,876
- 7,366
Baada ya kuanza masomo kwenye chuo cha Harvard, mtoto wa kwanza wa kike wa rais mstaafu wa Marekani Barak Obama, Maria Obama amekuwa gumzo kubwa chuoni baada ya kufanya kitendo kilichomfanya aongelewe sana na wanafunzi wenzake.
Malia alionekana kwenye mchezo wa American Football akimpa busu mwanafunzi mwenzake wa kiume na baada ya dakika chache alionekana kuwasha na kuanza kuvuta Sigara Barack na mke wake Michelle hawaja ongelea jambo hili mpaka sasa ingawa wengi wanasema ndio maisha ya chuo hayo hawawezi kuingilia maisha ya mtoto wao.
View attachment 636004
View attachment 636005
Malia alionekana kwenye mchezo wa American Football akimpa busu mwanafunzi mwenzake wa kiume na baada ya dakika chache alionekana kuwasha na kuanza kuvuta Sigara Barack na mke wake Michelle hawaja ongelea jambo hili mpaka sasa ingawa wengi wanasema ndio maisha ya chuo hayo hawawezi kuingilia maisha ya mtoto wao.
View attachment 636004
View attachment 636005