Roho Mbaya
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 777
- 670
Katika pita pita zangu kwenye mitandao ya kijamii nimekutana na Tangazo la mnada kwa mali zilizokuwa za Mfanyabiashara na Mwenyekiti wa zamani wa Zamani wa CCM (Zembwela).
Mali zinazopigwa mnada ni pamoja na hotel yake ndani ya mji wa Musoma (Afrilux Hotel) pamoja na vituo vya mafuta vilivyokuwa vikimilikiwa na tajiri huyo.
Nimeamini kweli pesa ni maua tu.
Mali zinazopigwa mnada ni pamoja na hotel yake ndani ya mji wa Musoma (Afrilux Hotel) pamoja na vituo vya mafuta vilivyokuwa vikimilikiwa na tajiri huyo.
Nimeamini kweli pesa ni maua tu.