The Fixer
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 1,365
- 599
Wadau;
Mimi ni mmoja kati ya Watanzania wenye hamu kubwa ya maendeleo kiuchumi katika Taifa letu, Nimeskia kuwa Wakoloni wa Kijerumani wakati wanaondoka nchini baada ya kushindwa vita na Waingereza walifukia kwenye mahandaki & kanisani na mahala pengi tu tofauti tofauti na kuficha mali nyingi sana zikiwemo Vinoo vya Dhahabu, Mabonge ya Almasi, Mapande makubwa ya Lulu, Madumu ya Mercury, Viroba vya Uranium,Makasha ya Sarafu na Noti za Rupia na madini mengi sana mbali mbali !
Kwanini Serikali ya Tanzania wasiingie ubia na Wajerumani na kuvuna hizi Mali kale zoote na kunufaisha nchi hizi mbili na yale maisha bora yaonekane ! Huu Umaskini wa Watanzania kwani hauwakeri watu wa Magogoni ? Zipo site zaidi ya 5,320 kwa kumbukumbu za Wizara ya mali asili na Utalii !
Kinachotokea sasa hivi ni hawa Wajerumani mmoja mmoja kuja na kuwalaghai Viongozi wetu na Familia zao na hatimaye kunufaika wao wenyewee tena wanakuwa Mabilionea wa kutishaa sana ! Watanzania wengi
Mimi ni mmoja kati ya Watanzania wenye hamu kubwa ya maendeleo kiuchumi katika Taifa letu, Nimeskia kuwa Wakoloni wa Kijerumani wakati wanaondoka nchini baada ya kushindwa vita na Waingereza walifukia kwenye mahandaki & kanisani na mahala pengi tu tofauti tofauti na kuficha mali nyingi sana zikiwemo Vinoo vya Dhahabu, Mabonge ya Almasi, Mapande makubwa ya Lulu, Madumu ya Mercury, Viroba vya Uranium,Makasha ya Sarafu na Noti za Rupia na madini mengi sana mbali mbali !
Kwanini Serikali ya Tanzania wasiingie ubia na Wajerumani na kuvuna hizi Mali kale zoote na kunufaisha nchi hizi mbili na yale maisha bora yaonekane ! Huu Umaskini wa Watanzania kwani hauwakeri watu wa Magogoni ? Zipo site zaidi ya 5,320 kwa kumbukumbu za Wizara ya mali asili na Utalii !
Kinachotokea sasa hivi ni hawa Wajerumani mmoja mmoja kuja na kuwalaghai Viongozi wetu na Familia zao na hatimaye kunufaika wao wenyewee tena wanakuwa Mabilionea wa kutishaa sana ! Watanzania wengi