Mali iliyotokana na mgao wa urithi inauzwa?

maramia

JF-Expert Member
Jul 17, 2015
2,030
1,344
Je, ni haki kisheria familia yangu ya mke na watoto inishtaki ikidai mgao wa pesa unaotokana na shamba la urithi la ekari 20 nililouza? nilipewa shamba hilo ukiwa ni urithi wangukutoka mali ya marehemu baba aliyefariki mwaka 2007.

Wakati nalirithi shamba hilo nilikuwa nikiishi na mke wangu na watoto sita lakini mimi nililiuza shamba hilo kimya kimya bila kumshirikisha mtu yeyote. Je ni lazima tugawane mali hiyo?
 
Je, ni haki kisheria familia yangu ya mke na watoto inishtaki ikidai mgao wa pesa unaotokana na shamba la urithi la ekari 20 nililouza? nilipewa shamba hilo ukiwa ni urithi wangukutoka mali ya marehemu baba aliyefariki mwaka 2007.

Wakati nalirithi shamba hilo nilikuwa nikiishi na mke wangu na watoto sita lakini mimi nililiuza shamba hilo kimya kimya bila kumshirikisha mtu yeyote. Je ni lazima tugawane mali hiyo?
Kama kweli umeuza shamba wewe ni matacall bora ungechukua mkopo bank. Maana hata ungeshindwa kulipa mkopo, kuna bank zingenunua mkopo wako. Badilisha watu unaokaa nao tafuta marafiki wakufundishe maisha.
 
Je, ni haki kisheria familia yangu ya mke na watoto inishtaki ikidai mgao wa pesa unaotokana na shamba la urithi la ekari 20 nililouza? nilipewa shamba hilo ukiwa ni urithi wangukutoka mali ya marehemu baba aliyefariki mwaka 2007.

Wakati nalirithi shamba hilo nilikuwa nikiishi na mke wangu na watoto sita lakini mimi nililiuza shamba hilo kimya kimya bila kumshirikisha mtu yeyote. Je ni lazima tugawane mali hiyo?
naomba kwanza kufahamu vifuatavyo;
1:wanadai kitu gani hasa?
2:Je,kwa namna yoyote ile mkeo alishawahi kuhudumia au kushiriki katika shughuli zozote za maendeleo katika eneo husika?
3:watoto wana umri gani?
4:Je Mgao huo ulikuwa ni kwa ajili yako binafsi au pamoja na wajukuu?
5:hati ya eneo au mashamba ipo kwa jina la nani?
6:ipi ilikuwa sababu ya wewe kutowashirikisha katika mauziano husika?
NB: Kumbuka kila unachokifanya kwa familia yako leo kina weza kuleta matokeo chanya au hasi katika familia,kama Msimamizi au kichwa cha familia nafikiri viu vingine nikutumia busara kutatua maana wanaotaka kufungua kesi ni Mke na watoto wako,jitafakari katika maaumizi yako
 
Kwanza uliuza eneo bila family consent wakienda kwenye sheria eneo linarudi kwenye mikono yao, mali yeyote uliyonayo inamilikiwa pamoja wewe na mke wako.
 
Mali ya urithi ukisharithi inakuwa ni personal property haina ubia na mke wala mtoto, hivyo ww ndio mwenye maamuzi ya mwisho.
Haihesabiki kama ni matrimonial property kufanya mke na watoto kudai chochote
 
Mali ya urithi ukisharithi inakuwa ni personal property haina ubia na mke wala mtoto, hivyo ww ndio mwenye maamuzi ya mwisho.
Haihesabiki kama ni matrimonial property kufanya mke na watoto kudai chochote
Nani kakudanganya hivyo, hata zawadi ni matrimonial property.
Mali yeyote ambayo mwenza anaipata akiwa kwenye ndoa inakuwa inamilikiwa na wanandoa wote.
 
Je, ni haki kisheria familia yangu ya mke na watoto inishtaki ikidai mgao wa pesa unaotokana na shamba la urithi la ekari 20 nililouza? nilipewa shamba hilo ukiwa ni urithi wangukutoka mali ya marehemu baba aliyefariki mwaka 2007.

Wakati nalirithi shamba hilo nilikuwa nikiishi na mke wangu na watoto sita lakini mimi nililiuza shamba hilo kimya kimya bila kumshirikisha mtu yeyote. Je ni lazima tugawane mali hiyo?
UMEKOSEA SANA
 
Ndugu unamdanganya huyu mtoa mada, nani kakudanganya kuwa Mali ya urithi haina ushirika wa familia? Toa ushauri kwa kitu unachokifahamu sio kulingana na mawazo na fikra zako
Mali ya urithi ukisharithi inakuwa ni personal property haina ubia na mke wala mtoto, hivyo ww ndio mwenye maamuzi ya mwisho.
Haihesabiki kama ni matrimonial property kufanya mke na watoto kudai chochote
 
Back
Top Bottom