- Thread starter
- #41
Hisa yako ya akili ina shida mahaliNimeona ulivyohukumu wanawake wote....kumbe bado unatutaka....teh
Ohooo oleweni basi na polisi.....kwi kwi kwiii...huwezi kutukimbia wewe
Hisa yako ya akili ina shida mahaliNimeona ulivyohukumu wanawake wote....kumbe bado unatutaka....teh
Ohooo oleweni basi na polisi.....kwi kwi kwiii...huwezi kutukimbia wewe
Hii ndio principle yangu mkuu, as long as mtoa mada ana mtoto, mali kama nyumba sio ishu, unaweza acha akakaa na mwanao ila sio kungawia! Personally furaha ndio kitu muhimu sio mali....unapambana na kuwa happy again, mali zisikufanye ukakosa amani mkuuTimua tu hiyo pimbi.. wanawake wa sikuhizi vichomi Sana na dawa yao ni kuwaacha wakakutane na vichomi wenzao.. yaan haiingii akilini Mwanaume unakua mpole na mpenda Amani Ila jianamke ndo kila siku linatafuta magomvi..!?
Hata wakichukua Mali zote.. ukipambana unazirudisha Tena hata zaidi ya Hizo.. tanguliza Aman ya Roho mkuu
Tatizo kubwa ni wazazi wake lakini pia yeye pia haepukiki katika ubaya kwanini awasikilize wazazi wake zaidi kuliko mm!!!? Siku wakimwambia aniue si lazima atekeleze huyu..?Kwahiyo inaonekana tatizo ni wazaz wake sio
Thanks brothernarudi tena wanawake wanaongozwa na external forces hawana uwezo wa kuchambua mambo, yaan wako vzuri ktk kusikiliza jambo na mashauri ya watu wengine kuliko mwanaume wake! ni tatizo kubwa sana. mambo unayotakiwa kufanya...
huyo mwanamke piga chini..