Malezi ya leo

Ngabu ..........kwa kuongezea kwenye pointi yako ni kuwa kwenye wafanyakazi wa ndani ni very cheap labor.....ndio maana kila mtu anaweza kuweka. wangelikuwa wanafata sheria za uajiri kwa mujibu zinavyoendwa nchi za nje, wangeweka wafanyakazi wa ndani matajiri wachache tu.

hapo sheria za uajiri zinajumuisha Mshahara, elimu ya malezi ya watoto kwa anaeajiriwa, umri wa anaeajiriwa n.k

Ewaaa...ni cheap labor haswa! Yaani huwaga nawaonea huruma sana. Kwa kiasi kikubwa hawana legal recourse yoyote kwa sababu siyo kwamba eti wanajaza job application, kazi yenyewe haina job description, and they get paid under the table.

My moral convictions don't allow me to partake in this 'wahudumu wa ndani' business. Never ever.
 
Ewaaa...ni cheap labor haswa! Yaani huwaga nawaonea huruma sana. Kwa kiasi kikubwa hawana legal recourse yoyote kwa sababu siyo kwamba eti wanajaza job application, kazi yenyewe haina job description, and they get paid under the table.

My moral convictions don't allow me to partake in this 'wahudumu wa ndani' business. Never ever.


Yaani we acha tu NN. Watu wanawanyanyasa hawa Wafanyakazi wa ndani mpaka unasikia huruma ya hali ya juu tena wala siyo wahindi ni Waafrika wenzetu yaani huwa inaniuma sana. Unamuajiri mtu na kumuamini ndani ya nyumba yako na wakati mwingine kumuachia nyumba akiwa mwenyewe lakini hapo hapo unataka kumnyanyasa kupita kiasi! Akikutenda unakuja juu kwamba hawa Wafanyakazi wa ndani ni wabaya lakini ubaya wako huuoni!
 
Watu mbona tuna watoto na hatukuhitaji wala hatuhitaji wahudumu (maids).

inategemeana na umri wa mtoto pia....kama ni mdogo msaidizi ni wa muhimu(kwangu).

Mimi nimelea mtoto tokea akiwa mchanga na sikuhitaji msaidizi. Nilifanya kila kitu mwenyewe huku nikifanya kazi full-time. Msaada niliohitaji ulikuwa ni daycare tu wakati nikiwa kazini. Zaidi ya hapo mengine yote nilifanya mwenyewe. Kumwogesha, kubadilisha diapers, kumpima joto, doctor visits, kucheza naye, you name it. Cha muhimu ni time management na kujua jinsi ya ku-multi-task. Sioni kwa nini mtu ushindwe lakini natambua wote hatuko sawa na hatuna career zinazofanana

watu wanaishi nchi za nje bila ya maids na wanaweza kulea bila wasi wasi.........................hawa wanawezaje hadi sisi tuhitaji maids nafikiri ndo pakuanzia

hao wa ulaya ndio wanawapeleka kwenye hizo daycare mami.....wakirudi wanajichanganya kama NN hapo...

Hakuna Binadamu anayeshindwa kulea mtoto wake, kama mnyama analea, kulinda na kutunza watoto itakuwa binadamu? Tatizo ni mazingira ya nchi yetu na nchi za nje anakoishi NN, Tanzania hapa sidhani kama kuna the so called "Day care" na kama wapo sidhani kama wanachukua mtoto chini ya Miaka Miwili... Kama mama anafanya kazi, definately atahitaji msaidizi wa kubaki na mtoto yeye akiwa kazini.

Pia inategemea muda wa kazi, kwa mfano Mama ni Nurse na anaingia kazini shift ya usiku, atampeleka wapi mtoto?
 
Mtoto wangu nikalelewe na mtu mwingine ,labda naumwa sijiwezi kabisa na nguvu za kulea hazipo ..mungu nisaidie nitimize azima yangu ya kulea wanangu mimi nikisaidiana na baba yao
 
Hakuna Binadamu anayeshindwa kulea mtoto wake, kama mnyama analea, kulinda na kutunza watoto itakuwa binadamu? Tatizo ni mazingira ya nchi yetu na nchi za nje anakoishi NN, Tanzania hapa sidhani kama kuna the so called "Day care" na kama wapo sidhani kama wanachukua mtoto chini ya Miaka Miwili... Kama mama anafanya kazi, definately atahitaji msaidizi wa kubaki na mtoto yeye akiwa kazini.

Pia inategemea muda wa kazi, kwa mfano Mama ni Nurse na anaingia kazini shift ya usiku, atampeleka wapi mtoto?

Acha hizo bana. Mbona enzi wakati mimi nakua kazini kwa mama yangu na kazini kwa baba yangu kulikuwa na daycare? Quemu can vouch this for me as we both attended TFNC's daycare.

Nilikuwa nabadilisha daycare kulingana na ratiba za mama na baba. Kama TFNC na UDSM waliweza kuwa na daycare kwa nini sehemu zingine zishindwe....? Oh wait...enzi hizo kulikuwa hakuna ufisadi uliokithiri....that could be the reason
 
Acha hizo bana. Mbona enzi wakati mimi nakua kazini kwa mama yangu na kazini kwa baba yangu kulikuwa na daycare? Quemu can vouch this for me as we both attended TFNC's daycare.

Nilikuwa nabadilisha daycare kulingana na ratiba za mama na baba. Kama TFNC na UDSM waliweza kuwa na daycare kwa nini sehemu zingine zishindwe....? Oh wait...enzi hizo kulikuwa hakuna ufisadi uliokithiri....that could be the reason

Hebu niambie NN, ulipelekwa ukiwa na umri gani?

Sijui kwa kweli... Labda wanaozijua hizo day care watutajie hapa, kuna wamama wengi wangependa kuwapeleka watoto wao huko...
 
Hebu niambie NN, ulipelekwa ukiwa na umri gani?

Sijui kwa kweli... Labda wanaozijua hizo day care watutajie hapa, kuna wamama wengi wangependa kuwapeleka watoto wao huko...

Nilikuwa mdogo sana. Wazazi wangu wote wawili walikuwa ni wafanyakazi. Umri niliopelekwa sikumbuki lakini nakumbuka range ya miaka ya watoto waliokuwa pale....kuanzia waliokuwa wanavaa diaper hadi wale waliokuwa wamekaribia kuanza darasa la kwanza.

Quemu anaweza akawapa mwanga zaidi. Lakini nilipelekwa daycare ya Tanzania Food and Nutrition Centre, pale Ocean road.....
 
Ngabu ..........kwa kuongezea kwenye pointi yako ni kuwa kwenye wafanyakazi wa ndani ni very cheap labor.....ndio maana kila mtu anaweza kuweka. wangelikuwa wanafata sheria za uajiri kwa mujibu zinavyoendwa nchi za nje, wangeweka wafanyakazi wa ndani matajiri wachache tu.

hapo sheria za uajiri zinajumuisha Mshahara, elimu ya malezi ya watoto kwa anaeajiriwa, umri wa anaeajiriwa n.k
mmhhh mie sitaki kwenda kulea mtoto wangu nchi za ulaya...no way....wala sipendi kulea mtoto wangu kizungu,,,hata huko Europe wange pewa hii facility wengi wasingeikataa...

plus its not very cheap to have a maid in my country...na pia kuna sheria za kuajiri, na yote ulio mention hapo....

So i am still keeping my maids.... I need them and they need me...
 
bongo mtu mwenyewe hohe hahe na anamfanyakazi wa ndani!

mfanyakazi wa ndani hajasomea kulea watoto, lakini unamuachia mtoto wako mchanga amlee, na on top unampa na mateso ya kila aina.

hii kitu imenikumbusha novel moja inatwa the Help inayozungumzia namna watu waupe walivyokuwa wakiwanyanyasa watu weusi lakini wakiwaachia wawapikie, wawalelee na watoto wao.

kwetu si watu weupe, ni sisi kwa sisi........
 
sasa hao maids si wanatafuta maisha pia ..nyie msipo waajiri waende wapi?
 
Mwisho wa siku kila mzazi atafanya uamuzi kulingana na kile anachokiona kinafaa kwa mwanae. Watu tumetofautiana malezi ya watoto bana...asikwambie mtu.

Siku moja nilikuwa mall...basi kukawa na katoto flani katundu katundu...kalikuwa kanamkimbia huku na kule. Basi mama yake akakakimbiza na kukapa bonge la kibao. Aisee moyo wangu uliwaka paaaa....nikakaonea huruma sana. Yaani ilibaki kidogo nipige simu Child Protective Services kwa sababu that smacking was way beyond the bounds of moderation.

Personally I don't believe in spanking. I can't spank a child. So when I see one getting spanked it pains me a lot. Ngabu loves the kids man....

Matter of fact, Ngabu Daddy Daycare is coming soon to a neighborhood near you....
 
Yaani we acha tu NN. Watu wanawanyanyasa hawa Wafanyakazi wa ndani mpaka unasikia huruma ya hali ya juu tena wala siyo wahindi ni Waafrika wenzetu yaani huwa inaniuma sana. Unamuajiri mtu na kumuamini ndani ya nyumba yako na wakati mwingine kumuachia nyumba akiwa mwenyewe lakini hapo hapo unataka kumnyanyasa kupita kiasi! Akikutenda unakuja juu kwamba hawa Wafanyakazi wa ndani ni wabaya lakini ubaya wako huuoni!
BAK i am with you...kunyanyasa mtu yeyote si vizuri kabisa...yani unaweza kupata tabu duniani ukiwa hujui kuishi na watu vizuri... hata kama wewe ni CEO wa company ukianza kunyanyasa wafanyakazi wako...unaweza kusababisha company ifungwe....
 
Ufisadi, umalaya, akili ndogo, kutowajibika, kutoheshimu, uvivu, et al ni chimbuko la malezi haya tunayoyasemea. Kwao wote walioenda kinyume na hii mada wangelitamani kipindi cha ujauzito kama kungekuwa na mbadala wa kubeba mimba wangeuchangamkia.
 
BAK i am with you...kunyanyasa mtu yeyote si vizuri kabisa...yani unaweza kupata tabu duniani ukiwa hujui kuishi na watu vizuri... hata kama wewe ni CEO wa company ukianza kunyanyasa wafanyakazi wako...unaweza kusababisha company ifungwe....

Yaani, kuna watu wana roho mbaya jamani! Unamnyanyasa binadamu mwenzako eti kwa vile umemuajiri na unamlipa mshahara.

Binadamu tunatofautiana kusema kweli NN. Niliyowahi kuyaona wakitendewa Wafanyakazi wa ndani Bongo hadi leo hii nikiyakumbuka huwa yananisikitisha sana.
 
NONAME ngoja uzae uone kazi yake,
wengi walisema watalea wenyewe,
hili njambo kwa mfumo wa sasa haliwezekani,
wtau wako sooo busy,utatafuta tu msaidizi nakwambia
au uta give up kabisaa kazi ama shule
sidhani kama kuna kazi itakayokusubiri ulee kwanza afu urudi kazini,
ongea reality mwanawane leave maximum ni one year!
nilivyosema starehe sikumaanishi kula starehe only.
nilimaanisha life in general,kazi/kisomo na starehe as part of it...
sijui wazazi wako wakoje na watalichukuliaje jambo hili...
ila mie mama yangu cant wait for me to have kids na kunisaidia,
all in all ili jambo linadepend hao bibi na babu tunaowaongelea wako fit kiasi gani...
mzazi yoyote hasa mama hatapenda kuona mwanae anaacha shule kwa sababu ya kulea mtoto,
atalichukulia hili ni jukumu lake kama lilivyo lako,
kuhusu wababa labda mwenzetu umepata mume mzuri.
wengi likija swala la watoto hawajishughulishi ...another sad reality.:mad2:

sasa huyu mama yangu nae si ana kazi anafanya, ina maana aache shughuli zake ili anilele mtoto? Duu au unaongelea wamama wa nyumbani wasio na kazi, kazi yake ilikuwa kunilea mimi sio na watoto wangu tena, ebu tuwahurumie wazazi wetu, hawajaja duniani kuwa busy na watoto kila cku
 
Back
Top Bottom