Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,584
Ngabu ..........kwa kuongezea kwenye pointi yako ni kuwa kwenye wafanyakazi wa ndani ni very cheap labor.....ndio maana kila mtu anaweza kuweka. wangelikuwa wanafata sheria za uajiri kwa mujibu zinavyoendwa nchi za nje, wangeweka wafanyakazi wa ndani matajiri wachache tu.
hapo sheria za uajiri zinajumuisha Mshahara, elimu ya malezi ya watoto kwa anaeajiriwa, umri wa anaeajiriwa n.k
Ewaaa...ni cheap labor haswa! Yaani huwaga nawaonea huruma sana. Kwa kiasi kikubwa hawana legal recourse yoyote kwa sababu siyo kwamba eti wanajaza job application, kazi yenyewe haina job description, and they get paid under the table.
My moral convictions don't allow me to partake in this 'wahudumu wa ndani' business. Never ever.