Malezi ya leo

sasa huyu mama yangu nae si ana kazi anafanya, ina maana aache shughuli zake ili anilele mtoto? Duu au unaongelea wamama wa nyumbani wasio na kazi, kazi yake ilikuwa kunilea mimi sio na watoto wangu tena, ebu tuwahurumie wazazi wetu, hawajaja duniani kuwa busy na watoto kila cku

circumstances zinadiffer mtu na mtu,
wengine wazazi wao wako available and fit kulea while some arent
kama wako circumstances haziruhusu inabidi utafute usaidizi mwengine,
na pia hili jambo sio la kulazimisha mtu,
am sure wazazi wako ni waelewa enough kukubali kulea mwanao ama kukataa,
nishasema pale juu,hakuna mzazi anayependa kuona mwanae akikwama mahali shule ama kazi kisa ulezi.
ndio maana wengi wanakubali kulea wajukuu!
 
watu wanaishi nchi za nje bila ya maids na wanaweza kulea bila wasi wasi.........................hawa wanawezaje hadi sisi tuhitaji maids nafikiri ndo pakuanzia

pa kuanzia labda kuwe na affordable day care centres za kutosha na mababysitter kama ulaya,...labda itawasukuma watu kulea watoto wenyewe...
mie nahisi mnapotray hili jambo la kuwa na maids kama ni baya na wakati si kweli,apart kwa wachache walionyanyaswa wengi wamepata employment,shelter na security which they wouldnt have kama kutakuwa na hayo maday care centre na watu kulea watoto wao wenyewe...
 
kila mtu ana mtazamo wake kuhusu kupeleka watoto kwa bibi kulea ama kupata msaidizi,
i just think mnaopinga mnasumbuliwa na guilty consience,:glasses-nerdy:
na pia hamna xperience na watoto wadogo,
may be you dont understand how hard it is kulea mtoto...
may be i am a failure when it comes to motherhood,
but i must admit ,from what i have seen, i wont do without usaidizi,
infact i want my kids back when they are at least 7 yrs old...:glasses-nerdy::smile-big:
i dont want to see them when they are 0 months old onwards...as i still want and love my bed
is how you view it!!,,,,,,for me this isnt avoiding rensponsibility,,,
this is having a bit of life!
even ulaya it is isnt easy to raise a kid on your own...
most people especially women suffer from post natal depression and other disorders,,,
 
Bora dadaangu umeweka kipengele cha kukiri udhaifu, kama upo. Pia ni kweli wengine bado hatuna familia, na kama ingetokea kwa bahati yoyote akawepo mtoto, inevitably angelelewa pahali flani kwanza. Hoja yangu ni kuwa kwa nini watu wanakimbilia kuzaa wakiwa bado hawajiwezi kiuchumi? Pia mara nyingi hawa watoto wanaoenda kwa bibi ni wale waliopatikana nje ya utaratibu. Sidhani kama kuna watu waliofunga ndoa kihalali wakapata mtoto wakashindwa namna ya kumlea wenyewe. Hao hawajajipanga. Walikurupuka. Suala la mayaya wanalijua wanawake sana. Wanachukua vitoto vidogo vikawalelee watoto. Wanavipiga panga mshahara kisa anakaa kwako. Tafuta binti aliepevuka, linganisha thamani ya mwanao na yenu relative kwa hela unayompa (wakati mwingine unamwambia eti nakuwekea hela yako) na kazi anazozifanya. Hakuna asiependa hela nzuri. Wapo pia mayaya watu wazima. Au mnawaogopa watu wazima?
 
hivi babu na bibi wanjua kule wajukuu..? huko kwetu bau na bibi ndo wanaongoza kuharibu wajukuu kwa kuwatetea kwakila kitu...hata kama wajukuu wakikosea!!:eyeroll2:
 
hivi babu na bibi wanjua kule wajukuu..? huko kwetu bau na bibi ndo wanaongoza kuharibu wajukuu kwa kuwatetea kwakila kitu...hata kama wajukuu wakikosea!!:eyeroll2:

i second that!!! mie mama yangu alikuwa mkali kweli kweli lakini kwa wajuu zake heeeeeeeeeeeeeeee usiwaguse wala usiwafokee anakuja juu.....
 
i second that!!! mie mama yangu alikuwa mkali kweli kweli lakini kwa wajuu zake heeeeeeeeeeeeeeee usiwaguse wala usiwafokee anakuja juu.....

Nawahurumia watoto na vikongwe wanaowalea!!:eyeroll2:...!!
 
take it from me, a single working mother, ukiwa na dedication kila kitu kinawezekana.
hakuna furaha ya mzazi kama kumwangalia mtoto wake mwenyewe, it can be stressful lakini ni most rewarding job kama ikifanywa vizuri.
lakini inafikia wakati una jinsi inabidi umwache mtoto mikononi kwa watu baki ili mweze kupata mkate wa kila siku, cha muhimu ni ku make the most it pale unapokuwa free na majukumu ya kazi, muonyeshe unampenda mfundishe mambo mema, cheza naye etc.
 
take it from me, a single working mother, ukiwa na dedication kila kitu kinawezekana.
hakuna furaha ya mzazi kama kumwangalia mtoto wake mwenyewe, it can be stressful lakini ni most rewarding job kama ikifanywa vizuri.
lakini inafikia wakati una jinsi inabidi umwache mtoto mikononi kwa watu baki ili mweze kupata mkate wa kila siku, cha muhimu ni ku make the most it pale unapokuwa free na majukumu ya kazi, muonyeshe unampenda mfundishe mambo mema, cheza naye etc.

wamekusikia, TATE. Hope watayafanyia kazi. Tatizo lingine ni kuwa wengine wamewapeleka wanao mikoani kabisaa
 
Back
Top Bottom