Malezi ya leo

kila mtu ni kweli lazima awajibike kulea mwanae, ukijua kuzaa na kulea ujue, ila sasa ndo hapo umeshindwa kuchukua hiyo leave miaka 2 lets say na unaona muda unakimbia ufanyeje sasa?

All in all I endorse wat you have said(kila mtu alee mwanae). Noname mi sijui kwa nini wanaitwa housegirls/boys. huko kwenu waitwaje hawa?
we call them nannies or house maids
 
nazungumzia hao wanaopeleka watoto kwa bibi:embarrassed1::embarrassed1:
hata wewe unajua wengi circumstances.. specific shule..ndio imewalazimu kufanya hivyo
btw ulezi si kazi ndogo,ni lazima uwe na usaidizi ili mambo yote yaende sawa,
hata kny ndoa ni lazima uwe na housegirl ama ndugu wa kukusaidia ndio mambo yatabalance...
am sure mnaosema mtalea wenyewe hamjazaa bado,na hamjakaa na ndugu anayelea kuanzia mtoto mchanga mkaona kasheshe yake!!

roselyne darling si lazima uwe na house girl ukiwa kwenye ndoa, ni mtazamo wangu tu. binafsi huwa siko comfortable kufanyiwa kazi zangu za ndani na house girl. hata chakula chake siwezi kula (unaweza kuwa udhaifu wangu but thats me) and don't trust sm1 with my clothes either, hata usafi wa ndani. thats my problem.

true that ulezi si kazi ndogo lakini mpaka umeamua kuzaa ulijua sacrifices zinazoambantana na kuwa mzazi

heheee no starehe kivile anymore
linapokuja suala la kuwa na yaya hapo naweza fikiria mara mbili mbili lakini
 
mie huko nimeshafunga chapter my dearest, nawasubiria nyie tu mfanye makeke...wengine sie tulikuwa tunafanya kulazimishia japo mtu akusaidie kumlisha mtoto,pole pole alizoea akawa anasaidia inapowezekana.
Good for your dearest... I love them kids really adore them but I am not ready...
bora umesema namie ntafanya hivyo hivyo kulazimisha kama hatanisaidia!!!
 
Good for your dearest... I love them kids really adore them but I am not ready...
bora umesema namie ntafanya hivyo hivyo kulazimisha kama hatanisaidia!!!

kila maths problem in formula yake, shauri yako u-apply ambayo sio uone unavopata mkasi
 
Good for your dearest... I love them kids really adore them but I am not ready...
bora umesema namie ntafanya hivyo hivyo kulazimisha kama hatanisaidia!!!

malezi ni magumu yackie tu, hapa unasema hutahitaji hata maids, nadhani unasema coz bado hujafikia huko, kweli hutaweza ku handle mambo mwenyewe, huku baby, huku usafi cjui nn na nn hutaweza dear...mie mtoto alikuwa akilia na mie nalia haaa malezi hapana aisee.
 
NONAME ngoja uzae uone kazi yake,
wengi walisema watalea wenyewe,
hili njambo kwa mfumo wa sasa haliwezekani,
wtau wako sooo busy,utatafuta tu msaidizi nakwambia
au uta give up kabisaa kazi ama shule
sidhani kama kuna kazi itakayokusubiri ulee kwanza afu urudi kazini,
ongea reality mwanawane leave maximum ni one year!
nilivyosema starehe sikumaanishi kula starehe only.
Rose darling ntamlea mwenyewe mtoto wangu thats not a question.... hili jambo linawezekana sana kwa mfumo wa sasa...kwani lazima urudi kufanya kazi same place? after two yrs if the company wont take me back I will find another job...plus my husband must support me financially if he want to have baby and I will also have my own saving...I am sure I will be able to survive for two yrs....

nilimaanisha life in general,kazi/kisomo na starehe as part of it...
sijui wazazi wako wakoje na watalichukuliaje jambo hili...
ila mie mama yangu cant wait for me to have kids na kunisaidia,
all in all ili jambo linadepend hao bibi na babu tunaowaongelea wako fit kiasi gani...
mzazi yoyote hasa mama hatapenda kuona mwanae anaacha shule kwa sababu ya kulea mtoto,
atalichukulia hili ni jukumu lake kama lilivyo lako
Kama ni shule basi bora usubiri kumaliza shule..haraka ya nini sasa...

mie wazazi wangu wamenilea niwe indipendent plus my mom is still married to my father and she has her duties as a wife..so she cant leave her house to stay with me..and I am sure I wouldnt be able to live without my kids... and no matter how fit she is i would never want to trouble her ...wewe mwenyewe umesema kulea sio kazi rahisi......


[/QUOTE]
kuhusu wababa labda mwenzetu umepata mume mzuri.
wengi likija swala la watoto hawajishughulishi ...another sad reality.:mad2:[/QUOTE]

hii ya mwanaume kutojishughulisha ni case ingine kabisa na inatakiwa special thread,,,
 
malezi ni magumu yackie tu, hapa unasema hutahitaji hata maids, nadhani unasema coz bado hujafikia huko, kweli hutaweza ku handle mambo mwenyewe, huku baby, huku usafi cjui nn na nn hutaweza dear...mie mtoto alikuwa akilia na mie nalia haaa malezi hapana aisee.
Hapana dearest ume ni misunderstood mie sijasema sihitaji maids ( r u kidding me cant live without them)... mie ntakaa nyumbani kwa ajili ya mtoto tuu...yani taking care of the baby...kumuogesha, kumlisha, kumlaza. kucheza nae etc... ila maids waendelee na kazi zao.cwezi mie kazi ya kupika, fagia, osha nguo, safisha...
 
Mimba zisizotarajiwa ndio mimba gani hizo? Kwa sababu kama mlikuwa hamtumii kinga au kama mwanamke hayuko kwenye kidonge na mwanaume hajafanyiwa vasectomy mlikuwa mnategemea nini? Heck, kwanza kuna baadhi ya wanawake ambao hupata mimba hata kama wako kwenye kidonge.

Mimba ambazo hazikutarajiwa ni zile ambazo labda mwanamke alibakwa. Zaidi ya hapo mtu unapojamiiana na mtu mwingine kwa hiari basi uwezekano wa mimba kutungwa na mambo mengine ambayo husababishwa na ngono ni mkubwa. Njia iliyo na uhakika angalau wa 99.9% kama hutaki mimba ni abstinence.

NB: Hivi kucheza na matoy - vibrator, dildo, vidole, n.k. nako kunahesabikia kama abstinence?
swali zuri sana ngoja na mie nione jibu lake litakavyokuwa
 
Hapana dearest ume ni misunderstood mie sijasema sihitaji maids ( r u kidding me cant live without them)... mie ntakaa nyumbani kwa ajili ya mtoto tuu...yani taking care of the baby...kumuogesha, kumlisha, kumlaza. kucheza nae etc... ila maids waendelee na kazi zao.cwezi mie kazi ya kupika, fagia, osha nguo, safisha...

unaweza but ukishapata mtoto ni ngumu kusema hutahitaji maids, na sana sana ukishaanza kazi hapo utamuhitaji zaidi...nimekupata dearest.
 
unaweza but ukishapata mtoto ni ngumu kusema hutahitaji maids, na sana sana ukishaanza kazi hapo utamuhitaji zaidi...nimekupata dearest.

Watu mbona tuna watoto na hatukuhitaji wala hatuhitaji wahudumu (maids). Inawezekana kabisa!! Unless labda sijakuelewa
 
Mimba zisizotarajiwa ndio mimba gani hizo? Kwa sababu kama mlikuwa hamtumii kinga au kama mwanamke hayuko kwenye kidonge na mwanaume hajafanyiwa vasectomy mlikuwa mnategemea nini? Heck, kwanza kuna baadhi ya wanawake ambao hupata mimba hata kama wako kwenye kidonge.

Mimba ambazo hazikutarajiwa ni zile ambazo labda mwanamke alibakwa. Zaidi ya hapo mtu unapojamiiana na mtu mwingine kwa hiari basi uwezekano wa mimba kutungwa na mambo mengine ambayo husababishwa na ngono ni mkubwa. Njia iliyo na uhakika angalau wa 99.9% kama hutaki mimba ni abstinence.

NB: Hivi kucheza na matoy - vibrator, dildo, vidole, n.k. nako kunahesabikia kama abstinence?

haiwezi kuwa abstinence, hapo unafanya sema tu unatumia vifaa tofauti na kiungo ulichopaswa kutumia.
mtu anakuwa ameacha kufanya kwa njia ya asili tu hapo na ana uhakika wa kutopata mimba
 
Watu mbona tuna watoto na hatukuhitaji wala hatuhitaji wahudumu (maids). Inawezekana kabisa!! Unless labda sijakuelewa

inategemeana na umri wa mtoto pia....kama ni mdogo msaidizi ni wa muhimu(kwangu) coz ctaweza kufanya mambo yote bila msaada.
 
inategemeana na umri wa mtoto pia....kama ni mdogo msaidizi ni wa muhimu(kwangu) coz ctaweza kufanya mambo yote bila msaada.

Vizuri umesema kwako. Mimi nimelea mtoto tokea akiwa mchanga na sikuhitaji msaidizi. Nilifanya kila kitu mwenyewe huku nikifanya kazi full-time. Msaada niliohitaji ulikuwa ni daycare tu wakati nikiwa kazini. Zaidi ya hapo mengine yote nilifanya mwenyewe. Kumwogesha, kubadilisha diapers, kumpima joto, doctor visits, kucheza naye, you name it.

Cha muhimu ni time management na kujua jinsi ya ku-multi-task. Sioni kwa nini mtu ushindwe lakini natambua wote hatuko sawa na hatuna career zinazofanana
 
watu wanaishi nchi za nje bila ya maids na wanaweza kulea bila wasi wasi.........................hawa wanawezaje hadi sisi tuhitaji maids nafikiri ndo pakuanzia
 
watu wanaishi nchi za nje bila ya maids na wanaweza kulea bila wasi wasi.........................hawa wanawezaje hadi sisi tuhitaji maids nafikiri ndo pakuanzia

Gaijin...mimi naona ni hivi. Ni mazoea na mazoea yana tabu. Pia, sisi kwa ujumla kama jamii tuna hali ambayo kule kwetu Usukumani tunaiita 'bhulemelwa', yaani ushindwashindwaji. Tunaona hatuwezi kufanya mambo.

Nikupe mfano mmoja. Juzi nilikuwa nasoma baadhi ya sheria za bongo kuhusiana na mambo mbalimbali. Kilichonichosha ni sheria hizo kutungwa/ kuandikwa kwa Kiingereza. Hoja ambayo nimeisikia wengi wakiijenga ni kwamba eti Kiswahili hakina upana na uwingi wa misamiati kama kilivyo Kiingereza. Nabaki kucheka tu kwa sababu hata hicho Kiingereza chenyewe kimeazima maneno kibao kutoka kwenye Kilatini hasa kwenye mambo ya sheria. Na kwenye mambo mengine Kiingereza kimeazima maneno kutoka kwenye Kifaransa, Kijerumani, na lugha zingine. Kwa hiyo utaona hata Kiingereza chenyewe hakijitegemei kama watu wanavyodhania.

Sasa mimi kwa mtazamo wangu ni kwamba misamiati huundwa na watumiaji wa lugha. Kama tunaona Kiswahili hakina misamiati ya kutosha kwa nini tusitengeneze misamiati mipya hadi tulazimishe kutumia lugha za Kigeni? Hii ni hali ya kujiona huwezi kufanya kitu na mimi naikataa hii hali. Mimi siyo muumini sana wa dini la naupenda huu mstari wa Philipians 4:13...'I can do all things through him who strengthens me'....my version is 'I can do all things through I who strengthens me'....

Ukiamua kufanya kitu na ukaweka mipango madhubuti utafanikiwa tu. Hakuna lisilowezekana chini ya jua.
 
watu wanaishi nchi za nje bila ya maids na wanaweza kulea bila wasi wasi.........................hawa wanawezaje hadi sisi tuhitaji maids nafikiri ndo pakuanzia

hao wa ulaya ndio wanawapeleka kwenye hizo daycare mami.....wakirudi wanajichanganya kama NN hapo...
 
Ngabu ..........kwa kuongezea kwenye pointi yako ni kuwa kwenye wafanyakazi wa ndani ni very cheap labor.....ndio maana kila mtu anaweza kuweka. wangelikuwa wanafata sheria za uajiri kwa mujibu zinavyoendwa nchi za nje, wangeweka wafanyakazi wa ndani matajiri wachache tu.

hapo sheria za uajiri zinajumuisha Mshahara, elimu ya malezi ya watoto kwa anaeajiriwa, umri wa anaeajiriwa n.k
 
Back
Top Bottom