Noname
JF-Expert Member
- Feb 8, 2010
- 1,269
- 28
we call them nannies or house maidskila mtu ni kweli lazima awajibike kulea mwanae, ukijua kuzaa na kulea ujue, ila sasa ndo hapo umeshindwa kuchukua hiyo leave miaka 2 lets say na unaona muda unakimbia ufanyeje sasa?
All in all I endorse wat you have said(kila mtu alee mwanae). Noname mi sijui kwa nini wanaitwa housegirls/boys. huko kwenu waitwaje hawa?