Malengo Yako Ya 2026 ni yapi?

Joanah

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2016
Posts
24,857
Reaction score
89,745
Hi people,
Heri ya mwaka mpya

Malengo yetu ya 2026 ni kupata mtoto wetu wa kwanza, napata mimba mwaka huu na kujifungua mwaka huu
Nachowaza ni kulea....sina experience ya kulea,sijawahi kukaa na mtoto mdogo kwa hata lisaa
Kingine nikiwaza kuchanika kei wakati wa kupush nachoka mimi
Kingine napenda utulivu,nikimpata mtoto anayelia lia sijui itakuwaje

Mambo ni mengi lakini yote kwa yote mwaka huu lengo kuu ni mtoto...nipo very excited actually

Wewe je?

Uzi bado....



View: https://youtu.be/Nm8d5ekU6Bs?si=rFwlEcjHFTpWTE8Q
 
Umeolewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…