duh... mzee yuko shallow sana aise... kama viongozi wenzake wa juu wa ccm!!! sintashangaa kauli hii akiitoa pia KJ, Kingunge, Msekwa, Makamba, Chiligati, etc. maana wanafanania na hii kauli ya tingatinga [aka kibajaji]
sijui huwa wanakula nini hawa jamaa wakishapata uongozi ndani ya ccm???
Huyu aende akamfanyie kampeini Livingstone Lusinde kule Mtera. Iringa kafuata nini kama siyo kutaka kuvunja nyumba ya mtu.
cha kusikitisha kabisa ni kwamba rais ameshindwa kukemea kauli zinazohalalisha rushwa kwani yeye ni mmoja waoMkuu mbona walishasema tayari!!! Rushwa iliyokuwa kwenye kura za maoni walisema ipo kila sehemu na wote walitoa rushwa isipokuwa walizidiana dau! Shame on them!
Mkuu mbona walishasema tayari!!! Rushwa iliyokuwa kwenye kura za maoni walisema ipo kila sehemu na wote walitoa rushwa isipokuwa walizidiana dau! Shame on them!
cha kusikitisha kabisa ni kwamba rais ameshindwa kukemea kauli zinazohalalisha rushwa kwani yeye ni mmoja wao
too bad!!!
Hivi Z'bar nako kuna rushwa?
hii message ya baba wa taifa imetulia, ndio maana CCM hawataki kutoka madarakani, Chadema tengenezi poster mnacapitalize hapahapa " Kila nilipokuwa nikitaka kung'atuka, walikuwa wakiniambia Mwalimu andelea tu, hii nchi bado ni changa na umeitoa mbali, nchi haitaendelea bila wewe. Nami niliendelea, hadi pale nilipokuja kugundua kumbe nchi changa wanayoiongelea ni FAMILIA ZAO, na hazitaendelea bila mimi kuwepo madarakani, maana walikuwa hawana uhakika kama RAIS ajae atawaacha katika nafasi walizokuwa nazo" Julius Nyerere
Haya ndio maneno wasemayo viongozi wetu wa sasa, wanasema BILA CCM nchi haitaendelea, lakini ukweli ni kuwa BILA CCM ufisadi wao hautaendelea, maana hawan uhakika kama CHAMA kingine kikichukua nchi watabaki salama!
Lakini naskia Mzee Malecela ana sauti kubwa sana ndani ya CCM na wanamwogopa kweli.
Aliyewahi kuwa waziri mkuu na Makamu wa Mwenyekiti wa CCM Mh John Malecela, ameshangaza umati aliyokuwa akihutubia Iringa kwa kuweka bayana kuwa ufisadi umehalalishwa na serikali ya CCM. Alienda mbali zaidi na kusema nchi zote duniani kuna ufisadi kwa maana hiyo haoni sababu kwanini wapinzani wanahoji ushiriki wa CCM kwenye ufisadi uliokithiri.
Nanukuu maneno yake!
Nipashe:
Huyu Mzee haeleweki sijui hata anatetea kitu gani!
Ukiona wazee kama hawa wanaongea hivyo ni dhahiri kuwa CCM ni mafisadi, Mzee Samweli na Kingunge ni mafisadi wakuu na wanajijua ndio maana full kurudishwa bungeni kawa fadhila za JK.
Amkemee nani wakati ndiyo walio muweka Ikulu na Hiyo pesa ya Kifisadi....cha kusikitisha kabisa ni kwamba rais ameshindwa kukemea kauli zinazohalalisha rushwa kwani yeye ni mmoja wao
too bad!!!
Hivi Z'bar nako kuna rushwa?