Wandugu habarini za leo. Nahitaji kupata audio za speech za Malcolm X mpigania haki za watu Weusi. Naombeni msaada mahali napoweza kuzipata. With Respect to you all.....Mtali
. wakaribishe na wengine waje kudownload. Sharing is caring :typing:
Shoga Malcolm X bado watu wana-mmaindi. Kudadeeki!
du, kwani alikuwa bwabwa? chakula cha watu? mboga? si riziki? mbonyezo?
Ndiyo. Alikuwa shoga. Nenda google tafuta kuhusu u-gay wa Malcolm X.
kumbe chakula.
Man unaenda mbali saana, unamchanganya muhitaji, kila mmoja alikuwa na mchango wake kulingana na wakati alio ishi, Mchango Mr X nao ni mkubwa pia. Hata Bob Marley unae mtaja alipata kuwa maarufu zaidi alipojifungia na kuchimba library ya Mr X. Hapo ndipo ilibozaliwa Survival album.
Thank you very much guys.... you made most of my day. I appreciate Ur concern. God bless U all with positive contribution and on the other hand Thanx kwa walio kejeli na kutukana maana wameonesha busara zao na namna walivyolelewa. I count on U all.
Thank you very much guys.... you made most of my day. I appreciate Ur concern. God bless U all with positive contribution and on the other hand Thanx kwa walio kejeli na kutukana maana wameonesha busara zao na namna walivyolelewa. I count on U all.
Sijaenda mbali kiongozi
Huyu ndugu yetu anahitaji kufahamu struggle nzima(nimepanua scope) na siyo leo anaomba taarifa za malcom x kesho aje na kipande kingine cha MARCUS GARVEY
BTW , huwezi kumlinganisha malcom x wala king na watu kama kina FREDRICK DOUGLAS ..naomba muhitaji atafute habari za hao watu....achana na kina bob marley...taarifa zao zipo barabarani kila mtu anazijua...
Wandugu habarini za leo. Nahitaji kupata audio za speech za Malcolm X mpigania haki za watu Weusi. Naombeni msaada mahali napoweza kuzipata. With Respect to you all.....
Mtali