Malaysia kuchukua wakimbizi 3000 kutoka Syria (Mungu Ibariki Syria)!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Imekuwa ni nchi ya kwanza huko Bara Asia kujitoa mhanga kuwasaidia raia wa nchi nzuri ya Syria ambayo wanapata tabu ya vita ya wenyewe kwa wenyewe iliyodumu kwa muda mrefu sasa!

Nchi ya Malaysia itachukuwa wakimbizi 3000 na kuwapa vibali vya kufanya kazi moja kwa moja nchini humo, hongereni Malaysia,
nilitegemea hatua kama hiyo ichukuliwe na nchi jirani kama vile Saudia, Qatar, &Co. lkn badala yake ndiyo wanazidi kuididimiza na kuingamiza nchi hiyo nzuri na yenye watu wazuri na walioelimika ya Syria!
Hata nchi ya Uhispania pia imejitolea kuchukuwa watu wazuri wa Syria 600!

Kundi la kwanza la Wasyria likiwasili nchini Malaysia!
Malaysia_will_3000_syrische_Fluechtlinge_aufnehmen-Mit_Arbeitserlaubnis-Story-512265_630x356px_0de9f624cc7a067edf724cf66e71eaa6__anhang_13__jpg.jpg


Mungu Ibariki Syria na watu wake, na Ilaani Saudia, Qatar &Co.!
 
Imekuwa ni nchi ya kwanza huko Bara Asia kujitoa mhanga kuwasaidia raia wa nchi nzuri ya Syria ambayo wanapata tabu ya vita ya wenyewe kwa wenyewe iliyodumu kwa muda mrefu sasa!

Nchi ya Malaysia itachukuwa wakimbizi 3000 na kuwapa vibali vya kufanya kazi moja kwa moja nchini humo, hongereni Malaysia,
nilitegemea hatua kama hiyo ichukuliwe na nchi jirani kama vile Saudia, Qatar, &Co. lkn badala yake ndiyo wanazidi kuididimiza na kuingamiza nchi hiyo nzuri na yenye watu wazuri na walioelimika ya Syria!
Hata nchi ya Uhispania pia imejitolea kuchukuwa watu wazuri wa Syria 600!

Kundi la kwanza la Wasyria likiwasili nchini Malaysia!
Malaysia_will_3000_syrische_Fluechtlinge_aufnehmen-Mit_Arbeitserlaubnis-Story-512265_630x356px_0de9f624cc7a067edf724cf66e71eaa6__anhang_13__jpg.jpg


Mungu Ibariki Syria na watu wake, na Ilaani Saudia, Qatar &Co.!
Ilaani Saudia..???ngojea waje wenyewe....hasa yule aliyesema atakaeigusa Saudia hatapona
 
Subiria Wasaudia weusi waje hapa,hii thread utaikimbia mwenyewe bila kuambiwa.
 
Kwani kutoa msaada ni lazima??? Mbona kuna mambo tunataka kulazimisha tu!! Mi nadhan kibinadamu taifa lolote linaloguswa na hali ktk taifa flaani kibinadam linapaswa kusaidia na si kunyooshea kidole flani mbona hasaidii haipendez
 
Ilaani Saudia..???ngojea waje wenyewe....hasa yule aliyesema atakaeigusa Saudia hatapona
Kwanini Saudia haichukui wakimbizi na kuwapa uraia! wakati ulaya, Marekani, inawachukua na kuwapa uraia au nchi za Kiislamu hazina huruma na waislamu wenzao lakini the west wana huruma? I fell to understand why even the Palestinian refugees who have been in those countries for over 30 yrs are just treated as aliens.
 
Halafu hapo Saudia ndipo ile sehemu "takatifu" ya maka ilipo ambayo inafundisha kuwapenda waislamu wenzao.

Waislam wote ni ndugu, sasa sijui waislam wa Syria wamegeuka mashetani?
 
Kwanini Saudia haichukui wakimbizi na kuwapa uraia! wakati ulaya, Marekani, inawachukua na kuwapa uraia au nchi za Kiislamu hazina huruma na waislamu wenzao lakini the west wana huruma? I fell to understand why even the Palestinian refugees who have been in those countries for over 30 yrs are just treated as aliens.
30 yrs? Mbona kidogo wako toka 1945 na wanakaa kambi za wakimbizi tu na wako mpaka Lebanon yaani ni mateso tu ila ukumbuke Jordan waliwapa nafasi kubwa kwao lakini bahati mbaya wa palestine wakata kuichukua nchi basi toka wakati huo no trust.
 
Subiria Wasaudia weusi waje hapa,hii thread utaikimbia mwenyewe bila kuambiwa.

Umesababisha niangue kicheko hadi naona aibu mahali nilipo. Mbavu zangu jamani, yaani eti hadi mleta mada ataikimbia mwenyewe.
 
Hivi mbona tunatesana kwenye hii dunia, nani kati yetu ataishi milele humu. Walizikwa akina Hitler, Amin na wengineo, huwa najiuliza maswali hadi nachoka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom