Syria:Wenye Nguvu wamepoteza.

2013

JF-Expert Member
Aug 2, 2011
11,358
6,060
Upo uwezekano hali ya Syria isitulie kama inavyotarajiwa. Kwasababu makundi yenye nguvu zaidi ndio yameonekana kupoteza kwenye hivi Vita. Hivyo lazima hayata kubaliana na matokeo.

Kwanza hivi ni Vita vya Kidini na Kiuchumi. Hizo ndio engines mbili zinazofanikisha kuona Waarabu wakifunguana butcher kila siku bila kujisikia vibaya.
Saudi Arabia ikionekana kama master mind wa hii Chessboard.

Tatizo la Pale Arabuni ni la Udini, Uchumi, nguvu ya Ushawishi


Udini kwasababu Mataifa ya ki Sunni yakiongozwa na Saudia kupitia umoja wao yanataka kuondosha tawala za waShia katika.mashariki ya kati.

Kama tujuavyo Syria inaongozwa na mShia. Wakati Iraq na Iran, ni dola za waShia wengi.

Mataifa ya Ki Sunni hayapendi hii hali iwe hivi. Yanataka kubadili hizi regime ili waSunni ndio watawale.


Mataifa ya Ulaya ni kama yanalipwa kufanya kazi hii. Wazungu wanapata Msukumo kwasababu za ki -Uchumi. Ambapo master mind atakua ni Saudia na kikosi chake cha Arab League.


Saddam Hussein alikua Msunni aliyetawala Iraq kwa mkono wa Chuma. Baada ya kuanguka utawala wa Iraq, Ilitawaliwa na washia walionyanyaswa na Saddam.

Baada ya hapa, Kukaibuka Arab Springs dhidi ya mataifa yaliokua chini ya madikteta, kuanzia kule Tunisia, Libya na Egypt.

Arab Spring haikuishia hapo ilienda hadi Syria.
Kwakua waarabu wamezoea Kutawaliwa badala ya kuongozwa. Kazi hii ya kulitifuatifua inakua nyepesi.

SYRIA.
Maandamano ya Syria yalipelekea machafuko kwa baadhi ya watu kushika Silaha. Matokeo yake Serikali ya ki Shia ya Bashar Al Assad ikawa inatupia lawama ksa waSunni kua ndio wanaoleta machafuko. Hii ikapelekea Uadui zaidi kati ya aShia na waSunni kuuana.

Waasi Wakaandaa mpango wa kuangusha Serikali ya kishia ya Syria ilio chini ya kiongozi Assad(Ambaye ni Mshia).



Mataifa ya kiarabu walikua wameunda Islamic states(IS), Ambapo Ilikuja na majina mbalimbali kama njia ya kujiimarisha zaidi. Iliitwa Islamic States of Levante (ISIL na ISIS) na mwishowe IS).
Islamic States ikaanza pale Iraq huku ikijitanua na kupewa ufadhili na mataifa yenye utajiri wa mafuta kama Qatar na Yemen.
Japo Agenda yao waliibadili hapo baadaye lakini haikuathiri nguvu yao ya kujitanua.

IS walieneza propaganda kua wanaunda Dola kuu ya Kiislamu ulimwenguni. Ajenda ilionunulika kirahisi na wengi. Mpaka makundi yenye nguvu ya wakati huo kama Alqaeda,Taliban na Nusra fronts yakapoteza wingi wa wafuasi ambao waliamu kujiunga na IS.

Kuhusu Syria, yalianza maandamano.
Kisha yakaletwa Madai kua Bashar kaua raia wake kwa sumu. Ajenda hii ililetwa ili kumshawishi USA aingie Vitani. Manake hakua na maslahi pale

Hivyo inaonyesha waundaji wake ni UK na France, Wakaunda Waasi(ARAB/MILITIA) ili kuung'oa utawala wa Syria. Lililoitwa Syria Defence force(SDR).

Turkey ilisapoti harakati hizi ikilenga Kudhibiti nguvu ya waasi wa kikurdi. Ambao walikua wanataka kuunda taifa lao.

UK na France zikamshinikiza US aingie.
Enzi ya Obama. Obama alikataa. Kwakua hakutaka US ijihusishe na vita yoyote. Alitaka iwe kama China.

Hata hivyo, Mwishowe akakubali kuingia nusunusu, alikataa kupeleka jeshi, akawa akishambulia maeneo muhimu yalioshikiliwa na Syria, kwa ndege za kivita. Na kuwasapoti waasi kwa kuwapa Silaha.
Turkey iliunga mkono harakati hizo.

Wakati huo IS walikua wana gain grounds katika viunga vya Syria na wakimbizi wengi wanakimbilia ulaya kupata asylum.

Kule Arabuni kuna jamii ya wakurdi wanapatikana katika nchi za TURKEY, IRAQ,SYRIA na IRAN.

Wakurdi wa Syria waliamua kupambana na serikali ya Syria, wakiwa na lengo la kuunda Taifa lao.



USA
Kama ilivyo ada US haina maislahi yoyote pale Syria. Lakini France na UK wana Interest pale.
Trump anafahamika ni rafiki wa Putin.

Mara Trump alipoingia akaamua kuwaunga mkono Wa kurdi wa Syria ili wamng'oe Assad.

Jambo hili halimpendezi Turkey, ambaye anahofu kuibuka kwa machafuko ya wakurdi wa nchini kwake, ikiwa tu wakurdi wa sehemu zingine wangepata Nguvu. Vilevile jambo hili halizipendezi mataifa mengine kama Iraq na Iran.

Ujerumani chini ya Merkel iliwahi kuonya kuhusu Hatari hiyo huko Nyuma. Wakati US inashirikiana nao kuung'oa utawala wa Saddam.


RUSSIA
Russia ana mkataba wa kuilinda Syria.
Anapambana kulinda utawala wa Syria chini ya Bashar Al Sadr.
Turkey na Russia wameboresha uhusiano wao
Ulikua umezorota baada ya Ndege ya Russia kudunguliwa na Turkey. Lengo ni ili wawadhibiti waKurdi wa Syria na walioko Turkey.Turkey ambaye ni mwanachama wa NATO.
Russia alitofautiana na USA kuhusu Tafsiri ya Magaidi nchini Syria.Ambapo wote kwa pamoja walikua wakidai wanapigana Vita dhidi ya magaidi.
Tafsiri ya Magaidi kwa Mujibu wa USA;-
Inahusisha Serikali ya Syria (Bashar Al Assad), IS na Vikundi vya Iran.

Wakati kwa upande wa Russia magaidi ni;- Wakurdi, Syria Democratic Forces(SDF) na IS kwa pamoja.
Russia ndio imekua msimamizi mkuu wa kutatua huu mgogoro kijeshi kuliko mataifa ya magharibi. Na hii imefanya Ushindi uwe upande wake.


IRAN
Iran ambayo inapalilia vita nchini Yemen, pia inaunga mkono utawala wa kiShia wa Syria(Assad) haiko tayari kuona unang'olewa na waSunni, nayo ikajiingiza Syria, ikichukua wapiganaji kutoka Afghanistan, Lebanon kwa Hezbollah na Iran na kutumia mabilioni ya dola kufadhili vita hivyo.
Iran inapambana kuhakikisha waKurdi wa Syria hawafanikiwi kuunda taifa lao.



ISRAEL
Israel ikihofia Adui yake Hezbollah na Iran, ikajiingiza ili kushambulia meli zenye silaha zinazo safirishwa kutoka Iran kupelekwa kwenye vikundi vya Hezbollah, Ili kuwezesha vita vya Syria na kutishia usalama wa Israeli.
Mapambano haya ndio yalimuweka Israel kiurafiki karibu na ufalme wa Saudia na nchi za ki Sunni. Hata Saudia kuamua kuruhusu anga lake kutumiwa na ndege za kijeshi za Israel.



Hivyo pale Syria pakawa na makundi 4. makubwa yakipigana:-

1. Waasi wa Syria( Arabu militia) ama Syria Democratic Forces.
2. WaKurdi
3. Islamic States.
4. kikosi cha waIran, Afghanistani, Hezbollah kikipigana sambamba na Jeshi la Syria dhidi ya waasi wanaoungwa mkono na mataifa ya magharibi.




Waasi wakiungwa mkono na mataifa ya magharibi na Saudi Arabia ili waunde dola ya kiSunni katika Syria. Hawa wengi vita kwao ni Ibada.

WaKurdi dhidi ya serikali ya Syria, Iran, Russia na Turkey. Ili waunde taifa la waKurdi.

Wao Islamic States ikipigana ''solely dhidi ya makundi yote hayo, Ili kutanua Dola kuu ya kiislamu mashariki ya kati. IS ni wa Sunni extremists. Japo hawa pia walikua wakipata msaada Qatar na Yemen hapo kabla haujakatwa.



MAKUNDI YENYE USHIRIKA;

1. Iran ikiunga mkono serikali ya Ki Shia ya Syria(Assad), Russia na Iran zinapokutana. Kama upande mmoja.

2. Waasi, USA, Saudi Arabia, Israel, WaKurdi wakiwa upande mmoja. France, UK, Qatar, etc.


Vita hii imedumu muda mrefu wa miaka 7 na imekua vigumu kumng'oa Bashar Assad, kwasababu anapata backup kutokea Moscow.

Russia imeapa kumlinda Asad kwa gharama yoyote.

Mpaka ilipofika ni kwamba waasi wanaoungwa mkono na nchi za Magharibi wamepoteza eneo la Douma ambalo ndilo walibakiwa nalo.

Na kwakua US hana Maslahi na ile vita, Na ukichukulia kua Trump ni rafiki wa Putin. UK na France zimejaribu kutafuta sababu ya
Kumrudisha US pale Syria ili kumuondoa Assad.

Ndipo ilipokuja sababu za mataifa ya West kutaka kumpiga Assad kwa kuwaua raia wa Syria kwa sumu.

Na kabla hili halijatokea, ilianza tukio la jasusi wa Russia Skripal kuwekewa sumu kule UK.
Wakaanza na vikwazo. Hata hivyo Russia imeonyesha kukataa kuhusika na matukio yote hayo mawili.


MAMBO YA KUCHUNGUZA
Uchunguzi huru unashindikana kwa sababu US hataki. Anaamini Russia wataharibu uchunguzi wakishiriki. USA wanataka wachunguze wenyewe.

Mambo ya kipekee;-
Trump anaaminika ni rafiki sana na Putin.
Hii imepelekea hata nchini kwake iwe vigumu kuaminika.

UN wanataka hii vita isije ikachochea vita kubwa kati ya Russia na US.

Hii ndio iko mezani kwa sasa.

UKWELI USIOSEMWA
USA NA UK Hazijui mahali hizo silaha za sumu zilipo fichwa huko Syria. Kama zingejua mapema, zingeshashambulia kabla hata mauaji haya hayajatokea. Hivyo tishio la Trump kushambulia Syria ni la kisiasa zaidi, lenye lengo la kuongeza shinikizo. Labda mpaka wapate Uhakika ni wapi hasa silaha hizo zimefichwa.

Lakini UK na France zinataka Washambulie.
German imekataa kushambulia, kwasababu ya utegemezi wake kwa Russia. Imeona iunge mkono US, UK na France lakini haitashiriki.
 
Kila lenye mwanzo halikosi mwisho,Itafika wakati yatakwisha yote hayo na itabakia stori tu.
 
Upo uwezekano hali ya Syria isitulie kama inavyotarajiwa. Kwasababu makundi yenye nguvu zaidi ndio yameonekana kupoteza kwenye hivi Vita. Hivyo lazima hayata kubaliana na matokeo.

Kwanza hivi ni Vita vya Kidini na Kiuchumi. Hizo ndio engines mbili zinazofanikisha kuona Waarabu wakifunguana butcher kila siku bila kujisikia vibaya.
Saudi Arabia ikionekana kama master mind wa hii Chessboard.

Tatizo la Pale Arabuni ni la Udini, Uchumi, nguvu ya Ushawishi


Udini kwasababu Mataifa ya ki Sunni yakiongozwa na Saudia kupitia umoja wao yanataka kuondosha tawala za waShia katika.mashariki ya kati.

Kama tujuavyo Syria inaongozwa na mShia. Wakati Iraq na Iran, ni dola za waShia wengi.

Mataifa ya Ki Sunni hayapendi hii hali iwe hivi. Yanataka kubadili hizi regime ili waSunni ndio watawale.


Mataifa ya Ulaya ni kama yanalipwa kufanya kazi hii. Wazungu wanapata Msukumo kwasababu za ki -Uchumi. Ambapo master mind atakua ni Saudia na kikosi chake cha Arab League.


Saddam Hussein alikua Msunni aliyetawala Iraq kwa mkono wa Chuma. Baada ya kuanguka utawala wa Iraq, Ilitawaliwa na washia walionyanyaswa na Saddam.

Baada ya hapa, Kukaibuka Arab Springs dhidi ya mataifa yaliokua chini ya madikteta, kuanzia kule Tunisia, Libya na Egypt.

Arab Spring haikuishia hapo ilienda hadi Syria.
Kwakua waarabu wamezoea Kutawaliwa badala ya kuongozwa. Kazi hii ya kulitifuatifua inakua nyepesi.

SYRIA.
Maandamano ya Syria yalipelekea machafuko kwa baadhi ya watu kushika Silaha. Matokeo yake Serikali ya ki Shia ya Bashar Al Assad ikawa inatupia lawama ksa waSunni kua ndio wanaoleta machafuko. Hii ikapelekea Uadui zaidi kati ya aShia na waSunni kuuana.

Waasi Wakaandaa mpango wa kuangusha Serikali ya kishia ya Syria ilio chini ya kiongozi Assad(Ambaye ni Mshia).



Mataifa ya kiarabu walikua wameunda Islamic states(IS), Ambapo Ilikuja na majina mbalimbali kama njia ya kujiimarisha zaidi. Iliitwa Islamic States of Levante (ISIL na ISIS) na mwishowe IS).
Islamic States ikaanza pale Iraq huku ikijitanua na kupewa ufadhili na mataifa yenye utajiri wa mafuta kama Qatar na Yemen.
Japo Agenda yao waliibadili hapo baadaye lakini haikuathiri nguvu yao ya kujitanua.

IS walieneza propaganda kua wanaunda Dola kuu ya Kiislamu ulimwenguni. Ajenda ilionunulika kirahisi na wengi. Mpaka makundi yenye nguvu ya wakati huo kama Alqaeda,Taliban na Nusra fronts yakapoteza wingi wa wafuasi ambao waliamu kujiunga na IS.

Kuhusu Syria, yalianza maandamano.
Kisha yakaletwa Madai kua Bashar kaua raia wake kwa sumu. Ajenda hii ililetwa ili kumshawishi USA aingie Vitani. Manake hakua na maslahi pale

Hivyo inaonyesha waundaji wake ni UK na France, Wakaunda Waasi(ARAB/MILITIA) ili kuung'oa utawala wa Syria. Lililoitwa Syria Defence force(SDR).

Turkey ilisapoti harakati hizi ikilenga Kudhibiti nguvu ya waasi wa kikurdi. Ambao walikua wanataka kuunda taifa lao.

UK na France zikamshinikiza US aingie.
Enzi ya Obama. Obama alikataa. Kwakua hakutaka US ijihusishe na vita yoyote. Alitaka iwe kama China.

Hata hivyo, Mwishowe akakubali kuingia nusunusu, alikataa kupeleka jeshi, akawa akishambulia maeneo muhimu yalioshikiliwa na Syria, kwa ndege za kivita. Na kuwasapoti waasi kwa kuwapa Silaha.
Turkey iliunga mkono harakati hizo.

Wakati huo IS walikua wana gain grounds katika viunga vya Syria na wakimbizi wengi wanakimbilia ulaya kupata asylum.

Kule Arabuni kuna jamii ya wakurdi wanapatikana katika nchi za TURKEY, IRAQ,SYRIA na IRAN.

Wakurdi wa Syria waliamua kupambana na serikali ya Syria, wakiwa na lengo la kuunda Taifa lao.



USA
Kama ilivyo ada US haina maislahi yoyote pale Syria. Lakini France na UK wana Interest pale.
Trump anafahamika ni rafiki wa Putin.

Mara Trump alipoingia akaamua kuwaunga mkono Wa kurdi wa Syria ili wamng'oe Assad.

Jambo hili halimpendezi Turkey, ambaye anahofu kuibuka kwa machafuko ya wakurdi wa nchini kwake, ikiwa tu wakurdi wa sehemu zingine wangepata Nguvu. Vilevile jambo hili halizipendezi mataifa mengine kama Iraq na Iran.

Ujerumani chini ya Merkel iliwahi kuonya kuhusu Hatari hiyo huko Nyuma. Wakati US inashirikiana nao kuung'oa utawala wa Saddam.


RUSSIA
Russia ana mkataba wa kuilinda Syria.
Anapambana kulinda utawala wa Syria chini ya Bashar Al Sadr.
Turkey na Russia wameboresha uhusiano wao
Ulikua umezorota baada ya Ndege ya Russia kudunguliwa na Turkey. Lengo ni ili wawadhibiti waKurdi wa Syria na walioko Turkey.Turkey ambaye ni mwanachama wa NATO.
Russia alitofautiana na USA kuhusu Tafsiri ya Magaidi nchini Syria.Ambapo wote kwa pamoja walikua wakidai wanapigana Vita dhidi ya magaidi.
Tafsiri ya Magaidi kwa Mujibu wa USA;-
Inahusisha Serikali ya Syria (Bashar Al Assad), IS na Vikundi vya Iran.

Wakati kwa upande wa Russia magaidi ni;- Wakurdi, Syria Democratic Forces(SDF) na IS kwa pamoja.
Russia ndio imekua msimamizi mkuu wa kutatua huu mgogoro kijeshi kuliko mataifa ya magharibi. Na hii imefanya Ushindi uwe upande wake.


IRAN
Iran ambayo inapalilia vita nchini Yemen, pia inaunga mkono utawala wa kiShia wa Syria(Assad) haiko tayari kuona unang'olewa na waSunni, nayo ikajiingiza Syria, ikichukua wapiganaji kutoka Afghanistan, Lebanon kwa Hezbollah na Iran na kutumia mabilioni ya dola kufadhili vita hivyo.
Iran inapambana kuhakikisha waKurdi wa Syria hawafanikiwi kuunda taifa lao.



ISRAEL
Israel ikihofia Adui yake Hezbollah na Iran, ikajiingiza ili kushambulia meli zenye silaha zinazo safirishwa kutoka Iran kupelekwa kwenye vikundi vya Hezbollah, Ili kuwezesha vita vya Syria na kutishia usalama wa Israeli.
Mapambano haya ndio yalimuweka Israel kiurafiki karibu na ufalme wa Saudia na nchi za ki Sunni. Hata Saudia kuamua kuruhusu anga lake kutumiwa na ndege za kijeshi za Israel.



Hivyo pale Syria pakawa na makundi 4. makubwa yakipigana:-

1. Waasi wa Syria( Arabu militia) ama Syria Democratic Forces.
2. WaKurdi
3. Islamic States.
4. kikosi cha waIran, Afghanistani, Hezbollah kikipigana sambamba na Jeshi la Syria dhidi ya waasi wanaoungwa mkono na mataifa ya magharibi.




Waasi wakiungwa mkono na mataifa ya magharibi na Saudi Arabia ili waunde dola ya kiSunni katika Syria. Hawa wengi vita kwao ni Ibada.

WaKurdi dhidi ya serikali ya Syria, Iran, Russia na Turkey. Ili waunde taifa la waKurdi.

Wao Islamic States ikipigana ''solely dhidi ya makundi yote hayo, Ili kutanua Dola kuu ya kiislamu mashariki ya kati. IS ni wa Sunni extremists. Japo hawa pia walikua wakipata msaada Qatar na Yemen hapo kabla haujakatwa.



MAKUNDI YENYE USHIRIKA;

1. Iran ikiunga mkono serikali ya Ki Shia ya Syria(Assad), Russia na Iran zinapokutana. Kama upande mmoja.

2. Waasi, USA, Saudi Arabia, Israel, WaKurdi wakiwa upande mmoja. France, UK, Qatar, etc.


Vita hii imedumu muda mrefu wa miaka 7 na imekua vigumu kumng'oa Bashar Assad, kwasababu anapata backup kutokea Moscow.

Russia imeapa kumlinda Asad kwa gharama yoyote.

Mpaka ilipofika ni kwamba waasi wanaoungwa mkono na nchi za Magharibi wamepoteza eneo la Douma ambalo ndilo walibakiwa nalo.

Na kwakua US hana Maslahi na ile vita, Na ukichukulia kua Trump ni rafiki wa Putin. UK na France zimejaribu kutafuta sababu ya
Kumrudisha US pale Syria ili kumuondoa Assad.

Ndipo ilipokuja sababu za mataifa ya West kutaka kumpiga Assad kwa kuwaua raia wa Syria kwa sumu.

Na kabla hili halijatokea, ilianza tukio la jasusi wa Russia Skripal kuwekewa sumu kule UK.
Wakaanza na vikwazo. Hata hivyo Russia imeonyesha kukataa kuhusika na matukio yote hayo mawili.


MAMBO YA KUCHUNGUZA
Uchunguzi huru unashindikana kwa sababu US hataki. Anaamini Russia wataharibu uchunguzi wakishiriki. USA wanataka wachunguze wenyewe.

Mambo ya kipekee;-
Trump anaaminika ni rafiki sana na Putin.
Hii imepelekea hata nchini kwake iwe vigumu kuaminika.

UN wanataka hii vita isije ikachochea vita kubwa kati ya Russia na US.

Hii ndio iko mezani kwa sasa.

UKWELI USIOSEMWA
USA NA UK Hazijui mahali hizo silaha za sumu zilipo fichwa huko Syria. Kama zingejua mapema, zingeshashambulia kabla hata mauaji haya hayajatokea. Hivyo tishio la Trump kushambulia Syria ni la kisiasa zaidi, lenye lengo la kuongeza shinikizo. Labda mpaka wapate Uhakika ni wapi hasa silaha hizo zimefichwa.

Lakini UK na France zinataka Washambulie.
German imekataa kushambulia, kwasababu ya utegemezi wake kwa Russia. Imeona iunge mkono US, UK na France lakini haitashiriki.

Safi sana.
Lakini Je nani anagharimia vita vya IS? Ni yepi mahusiano yao na Israel?
Interests za UK na France ni zipi?Interest ya Bomba la gesi ni kwa ulaya nzima nahata kwa Iran pia.
UK ni wafitini wakubwa wakisaidiwa na Ufaransa suala la matumizi ya sumu inawezekana si kweli kabisa. lakini funga kazi wa fitina ni muisraeli kwa vile shida yake ni kukamilisha ku distabilize mashariki ya kati yote na kuchonganisha Iran na mataifa mengine ili wakichapwa yeye aendelee kutanua himaya yake. Muisraeli amewashawishi na kuikali Amerika na misheni yao ya siku nyingi ya kutumia ulokole kama njia ya kupata sapotikwa mataifa yote imezaa matunda mazuri sana.
Ujerumani inaurafiki wa kinamna na urusi na vita vikianza wao watapoteza zaidi na tena wao ndio wakushambuliwa kwanza kwa suala la kijografia. Kwa upande wa ulaya Ujerumani inanguvu kubwa sana ya kijeshi na kijasusi kuliko UK na Ufaransa.
UK anamatatizo mengi Brexit imemshinda anatafuta namna, ameanza kudhoofu kiuchumi na mwakani akijitoa atararuliwa sana kiuchumi na EU. Anajaribu kupata sababu ya kupotezea.
Mmarikani anausongo na Iran kwa kukataa dolla na jinsi anavyojitanua mashariki ya kati. Anamatatizo ya petrodollar kuvamiwa na wachina hivyo kuvunja vunja uchumi wake na pesa yake kuwa sarafu ya dunia. Nchi zote zilizoleta fyoko fyoko kuvuruga petrodollar ziliishia na kichapo ikiwa pamoja na Libya ya Gadafi na Venezuela sasa kwa mchina kakutana na kizingiti. kwa vile yeye ni mbwa anayeuma basi wale wanobweka kama UK na uFaransa na Msaudi humlazimisha kwenda kwenye mawindo hata kama hapendi.
Mrusi ameonewa sana sana, amesingiziwa mengi, marafiki zake wame bondwa bondwa, mikataba yaliyofikiwa wakati wa Gorbachev yamevunjwa yote, mf nchi zile za sovient union zimeingizwa NATO na makombora ya kuwashambulia yamewekwa, zaidi wamemwekea vikwazo kila wakati. Ametumia fursa ya vita vya Siria kama jukwaa la kuonyesha vifaa vita vyake jinsi vinavyofanya kazi na ubora wake kiasi kwamba hata nchi zilizo kwenye NATO zinataka kununua. Amemnyamazisha mbwa anayeuma akaona kuwa hapo maji marefu lakini hivi vijimbwa vina zidi kumpa mori huyu mbwa aamke lakini mrusi kaonesha silaha supasonic, hawakuamini. Wakaona wampakazie kutumia sumu na kwamba watamshinda kwa sababu wameunda makombora mapya na janja, na hata kama atayazuia ataishiwa hivyo hatimae makobora yatafika kwa vile ni mengi na nchi zoe za NATO kuhusika. Mrusi akaonesha kuwa hizo ni ndoto kwa vile atatungua zile setelite za kijeshi kule juu angani halafu watumie analogue kuzirusha. Funga kazi na mchina kaenda kumfariji kwamba nilikuwa nawe wakati wa furaha na nitakuwa nawe wakati wa majonzi. Mpambe wao Iran anasema tutalia na kucheka pamoja.
 
Safi sana.
Lakini Je nani anagharimia vita vya IS? Ni yepi mahusiano yao na Israel?
Interests za UK na France ni zipi?Interest ya Bomba la gesi ni kwa ulaya nzima nahata kwa Iran pia.
UK ni wafitini wakubwa wakisaidiwa na Ufaransa suala la matumizi ya sumu inawezekana si kweli kabisa. lakini funga kazi wa fitina ni muisraeli kwa vile shida yake ni kukamilisha ku distabilize mashariki ya kati yote na kuchonganisha Iran na mataifa mengine ili wakichapwa yeye aendelee kutanua himaya yake. Muisraeli amewashawishi na kuikali Amerika na misheni yao ya siku nyingi ya kutumia ulokole kama njia ya kupata sapotikwa mataifa yote imezaa matunda mazuri sana.
Ujerumani inaurafiki wa kinamna na urusi na vita vikianza wao watapoteza zaidi na tena wao ndio wakushambuliwa kwanza kwa suala la kijografia. Kwa upande wa ulaya Ujerumani inanguvu kubwa sana ya kijeshi na kijasusi kuliko UK na Ufaransa.
UK anamatatizo mengi Brexit imemshinda anatafuta namna, ameanza kudhoofu kiuchumi na mwakani akijitoa atararuliwa sana kiuchumi na EU. Anajaribu kupata sababu ya kupotezea.
Mmarikani anausongo na Iran kwa kukataa dolla na jinsi anavyojitanua mashariki ya kati. Anamatatizo ya petrodollar kuvamiwa na wachina hivyo kuvunja vunja uchumi wake na pesa yake kuwa sarafu ya dunia. Nchi zote zilizoleta fyoko fyoko kuvuruga petrodollar ziliishia na kichapo ikiwa pamoja na Libya ya Gadafi na Venezuela sasa kwa mchina kakutana na kizingiti. kwa vile yeye ni mbwa anayeuma basi wale wanobweka kama UK na uFaransa na Msaudi humlazimisha kwenda kwenye mawindo hata kama hapendi.
Mrusi ameonewa sana sana, amesingiziwa mengi, marafiki zake wame bondwa bondwa, mikataba yaliyofikiwa wakati wa Gorbachev yamevunjwa yote, mf nchi zile za sovient union zimeingizwa NATO na makombora ya kuwashambulia yamewekwa, zaidi wamemwekea vikwazo kila wakati. Ametumia fursa ya vita vya Siria kama jukwaa la kuonyesha vifaa vita vyake jinsi vinavyofanya kazi na ubora wake kiasi kwamba hata nchi zilizo kwenye NATO zinataka kununua. Amemnyamazisha mbwa anayeuma akaona kuwa hapo maji marefu lakini hivi vijimbwa vina zidi kumpa mori huyu mbwa aamke lakini mrusi kaonesha silaha supasonic, hawakuamini. Wakaona wampakazie kutumia sumu na kwamba watamshinda kwa sababu wameunda makombora mapya na janja, na hata kama atayazuia ataishiwa hivyo hatimae makobora yatafika kwa vile ni mengi na nchi zoe za NATO kuhusika. Mrusi akaonesha kuwa hizo ni ndoto kwa vile atatungua zile setelite za kijeshi kule juu angani halafu watumie analogue kuzirusha. Funga kazi na mchina kaenda kumfariji kwamba nilikuwa nawe wakati wa furaha na nitakuwa nawe wakati wa majonzi. Mpambe wao Iran anasema tutalia na kucheka pamoja.

Ukumbuke kua Obama alikua hapendwi na Saudi states na Israel. Hivyo baada ya Ujio wa Trump kuzungumza na Arab league na kuwapa masharti yake, pindi alipochaguliwa.

Arab League walikaa kwenye kikao chao wakaazimia kuipiga sanctions Qatar kwa madai kua ndiye mfadhili mkuu wa Islamic States. Pia wakaitaja Iran kua bado kitisho pale Middle East. Manake Iran ndio wanai control Iran. Hezbollah, waasi wanaoipinga serikali ya Yemen(Sunni states) na Hamas.l(Adui wa Israel).

Hata hivyo Qatar ni tajiri sana kuliko hata Idadi ya watu wake. Qatar ina shares za mabilions katika mabenki na makampuni ya Ulaya na America.
UK kwa kuhofia Qatar watatoa shares zao na kuathiri uchumi wao ikawa inamkingia kifua dhidi ya Saudi states.
Turkey nao hawakubaki nyuma katika kumtetea Qatar katika hizi tuhuma kutoka kwa mataifa menzake ya kiarabu.
"Never Under Estimate The Power Of Money."

Lakini tunapozungumza IS, kwa sasa ni kama imeisha Kabisa baada ya Ujio wa Trump pale Mashariki ya kati na kuonana na Mfalme wa Saudia.

Pia Russia ameweza kuivunjavunja IS ndano ya Syria.

Interests za UK na France;-
France na UK zinataka kuweza ku access vyanzo muhimu vya Mafuta katika nchi zenye mafuta mengi kwaajili ya uchumi wake.

Lakini pia Inasemwa kua hizi nchi zinafanya biashara ya Silaha kwa mataifa ya Waarabu. Hivyo zinatengeneza tension ili kuuza silaha na zana za kivita pale Arabuni. War is about economics.

USA hana interest na Iran kama inavyodhaniwa.

Tena hili swala ndio miongoni mwa maswala yaliochangia kumfarakanisha Obama kwa Israel na Saudi(Sunni States) wakati wa utawala wake.

USA ana jenga bifu na Iran kwasababu ya kuwasapoti marafiki zake hawa wawili.
Sunni states zikiongozwa na Saudia zili declare openly kua Israel sio kitisho kwao pale middle East bali Iran. US anajikuta analazimika kuwaunga mkono washirika wake hawa. Na Saudi ni mteja mzuri wa Ndege za kijeshi za USA na mambo mengine.

Umetaja story ya Ulokole. Haina uhalisia.

Israel ina ushawishi mkubwa sana kwa chama cha Republican kwasababu wengi wa watu wake na waasisi walikua wayahudi. Yale University ni miongoni mwa vyuo vikuu bora vilivyoanzishwa na wayahudi miaka hiyo. Ndipo George Walter Bush alisomea hapo.

Wakati cha cha Democratic kilikua chama cha minorities na wageni. Ndio maana ni chama kinachokubalika sana na wamarekani wenye asili ya hispania, mexican na African Americans. Na ndio kimeweza kumtoa Raisi wa kwanza Mweusi Barack Obama.
Hata mifumo ya Sera zao umejikita huko pia.
Republican kikionekana cha kibaguzi na Democratic kikionekana chama kisicho na ubaguzi. Manake hata mashoga kinawakubali.

Mara zote. Democratic wanaposhika dola utaona urafiki wa US na Israel unapungua sana. Hali urudi mahali pale wanapokuja Republican.


Kuhusu matumizi ya Dollar.
Niseme kwa Ufupi kwa lugha ya ki layman ama dummies.
Nchi zote duniani zinapendelea ku peg hela zao kwenyw Dollar. Matumizi ya Dollar yanasaidia ku boost uchumi wao.

Hata China pamoja na uchumi wake mkubwa. Amekua akinufaika na matumizi ya dollar kwenye exchange ya Petrol. Ndio maana unaona Trump anajaribu kutengeneza mazingira ili kuizuia Dollars nyingi kwenda China na kusababisha Deni la US kuongezeka zaidi.
Ikumbukwe Pesa ya China ni Yuan. Na wamekataa kabisa kuiongezea thamani. Obama alijaribu kuwashinikiza wakakataa. Manake China anajua akiiongeza thamani Uchumi wake utashuka. Watu wengi wana afford kwenda China na kufanya biashara na China kwasababu Pesa yao iko chini.China wanazalisha bidhaa kwa pesa ndogo ya Yuan wanaenda kuuza USA kwa Dollar, pesa yenye thamani. Wakishapata Dollar wanaingia hazina wananunua Dollar nyingi zaidi, ili waje kuziuza zinapopanda thamani.
Japan wanafanya hivyo na China wanafanya hivyo.

Hela nyingine inayochuana na Dollar ni Euro.
Ukiifuatilia jinsi Uchumi unavyoendeshwa utagundua hata ile stori ya Libya na Sarafu ya dhahabu ni stori ya kubumba tu. Haina logic.
 
Back
Top Bottom