Malaya (Prostitute) ni mwanamke au mwanaume?

Malaya (Prostitute) ni mwanamke au mwanaume?

Hato yote ni majina tu. Na je wanyama tunawakategory vipi?
Mbwembwe tu za kibinadamu.
 
malaya
  1. mwanamke au mwanaume mwenye tabia ya uzinzi.
  2. mwanamke anayejiuza kwa wanaume kwa ajili ya kupata pesa.(uk.151)
kahaba
  1. mtu mwanamume au mwanamke anayeshiriki mambo ya uasherati kuwa ni biashara au starehe yake:malaya:mtembezi:mzinifu:mzinzi (uk.96)
source:KAMUSI YA KISWAHILI SANIFU(OUP)
cc:kiwatengu
 
Malaya ni mwanamke au mwanaume anaeweza kua na wapenzi zaidi ya mmoja yani inakua ndio tabia yake kua na wanaume wengi au wanawake wengi

Kahaba ni mwanamke anaefanya biashara ya ngono yaani kuuza mwili wake

Huo ni uelewa wangu
 
Mwanaume anakuaje malaya.!??
Embu mkwendee.. Hyo kamusi tupa kule.
 
Malaya ni mwanamke au mwanaume anaeweza kua na wapenzi zaidi ya mmoja yani inakua ndio tabia yake kua na wanaume wengi au wanawake wengi

Kahaba ni mwanamke anaefanya biashara ya ngono yaani kuuza mwili wake

Huo ni uelewa wangu

malaya=prostitute

kahaba=-----


kuwa na wanamme au wanawake wengi siyo umalaya.umalaya ni kutoa huduma ya ngono kwa minajili ya kipato.
 
malaya=prostitute

kahaba=-----


kuwa na wanamme au wanawake wengi siyo umalaya.umalaya ni kutoa huduma ya ngono kwa minajili ya kipato.

Wasichana wanaoitwa malaya mitaani wote wanajiuza wanaitwa hivyo labda kwa kua wanaonekana na wanaume wengi au wanawake wengi

But ukisema kahaba inasimama kwa mwanamke tu
 
Wasichana wanaoitwa malaya mitaani wote wanajiuza wanaitwa hivyo labda kwa kua wanaonekana na wanaume wengi au wanawake wengi

But ukisema kahaba inasimama kwa mwanamke tu

mkuu,tumezoea kuwaita hivyo lakini usahihi wa neno malaya ni kama nilivyoeleza hapo awali.kuitwa hivyo siyo tija,ila maana kamili ya neno malaya ni kama nilivoeleza
 
malaya
  1. mwanamke au mwanaume mwenye tabia ya uzinzi.
  2. mwanamke anayejiuza kwa wanaume kwa ajili ya kupata pesa.(uk.151)
kahaba
  1. mtu mwanamume au mwanamke anayeshiriki mambo ya uasherati kuwa ni biashara au starehe yake:malaya:mtembezi:mzinifu:mzinzi (uk.96)
source:KAMUSI YA KISWAHILI SANIFU(OUP)
cc:kiwatengu

Asante mkuu..ishu kumbe ni uzinzi.
 
Malaya ni yule aliegawa papuchi au dusherere mtaa mzima yaani hachagui tena bila ya sababu ya pesa wala nini ila anapenda tu.
Mahaba yeye ngono na pesa bila pesa hakuna ngono na mara nyingi maamuzi yake yanategemea poshi.
Changudoa ni yule ambae haeleweki anaweza kuchukua hela zako na ukamgegeda akaingia wash room akatoka na ukamtaka tena akagegedwa na akarudi tena kuwinda.. Wapo buguruni mkuu.
 
Malaya ni yule aliegawa papuchi au dusherere mtaa mzima yaani hachagui tena bila ya sababu ya pesa wala nini ila anapenda tu.
Mahaba yeye ngono na pesa bila pesa hakuna ngono na mara nyingi maamuzi yake yanategemea poshi.
Changudoa ni yule ambae haeleweki anaweza kuchukua hela zako na ukamgegeda akaingia wash room akatoka na ukamtaka tena akagegedwa na akarudi tena kuwinda.. Wapo buguruni mkuu.

Sawa jembe, umegusa kila kipengele, ila hiki hujakigusa!!
je, unaweza kumwita mtu malaya while u never even touch her?
 
malaya
  1. mwanamke au mwanaume mwenye tabia ya uzinzi.
  2. mwanamke anayejiuza kwa wanaume kwa ajili ya kupata pesa.(uk.151)
kahaba
  1. mtu mwanamume au mwanamke anayeshiriki mambo ya uasherati kuwa ni biashara au starehe yake:malaya:mtembezi:mzinifu:mzinzi (uk.96)
source:KAMUSI YA KISWAHILI SANIFU(OUP)
cc:kiwatengu

Nini tofauti ya mzinzi na mwasherati?
 
Back
Top Bottom