Malaya (Prostitute) ni mwanamke au mwanaume?

Malaya (Prostitute) ni mwanamke au mwanaume?

kiwatengu

Platinum Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
19,490
Reaction score
18,378
Re-Post;

- Malaya ni nani?
- Ni mwanaume au mwanamke?

Je, kila mtu anaweza kumwita mwanamke/mwanaume malaya?

Hata kama hawajawahi kukutana naye kimwili?

Kwa upande wangu huwa naona vigumu kumwita mwanamke malaya wakati sijawahi mgegeda.

Nini kipimo cha kuwa malaya?

Kuna wadada wanapenda sana pesa tena kwa uwazi kabisa.

Hata hapa JF wapo (kulingana na jinsi wanavyojinadi) refer team no free P.

Je, hawa nao ni malaya?

Lastly kuna tofauti gani kati ya maneno haya hapa chini na malaya?
i. Kahaba
ii.Changudoa

Hebu tujadiliane
 
Changudoa ndie prostitute ambae yeye ni sex worker
ana sex for money
wapo kona bar wapo mabarabarani wanajiuza

Kuhusu malaya ..hilo linatokana na tafsiri kulingana na culture

Decent woma Marekani anaweza kuitwa malaya Zanzibar au Pemba
decent woman Sinza anaweza kuitwa Malaya huko Ikwiriri
 
Changudoa ndie prostitute ambae yeye ni sex worker
ana sex for money
wapo kona bar wapo mabarabarani wanajiuza

Kuhusu malaya ..hilo linatokana na tafsiri kulingana na culture

Decent woma Marekani anaweza kuitwa malaya Zanzibar au Pemba
decent woman Sinza anaweza kuitwa Malaya huko Ikwiriri

Unaweza kumwita mwanamke malaya, regardless hata hujawahi kumeet nae kimgegedo?
 
Malaya ni mtu yoyote mwanaume au mwanamke mwenye kufanya mapenzi na watu zaidi ya mmoja

Sawa Root, lakini utajuaje kama mtu huyu mwanamke au mwanaume ni malaya ilihali hujawahi kufanya nae sex? kama ulivyobainisha hapo juu..
 
Sawa Root, lakini utajuaje kama mtu huyu mwanamke au mwanaume ni malaya ilihali hujawahi kufanya nae sex? kama ulivyobainisha hapo juu..

Si wanaonekana mtaani na mambo yao, leo yuko na huyu kesho yuko na yule.
Hata huyo ulie nae kama aliwahi kuwa na mwingine ni malaya pia
 
Si wanaonekana mtaani na mambo yao, leo yuko na huyu kesho yuko na yule.
Hata huyo ulie nae kama aliwahi kuwa na mwingine ni malaya pia

so ex wako ni malaya kwa mwingine and vise versa right?
 
KIWATENGU
Mwanaume hawezi kuwa Malaya.Kwani tafsiri ya umalaya ni Kwa wanawake tu wanaokodisha papuchi au vitendo vonavyofanana na hivyo Kwa madhumuni ya kijipatia kipato
 
Sawa Root, lakini utajuaje kama mtu huyu mwanamke au mwanaume ni malaya ilihali hujawahi kufanya nae sex? kama ulivyobainisha hapo juu..

You are modern days Thomas kiwatengu
 
Last edited by a moderator:
Mimi nimedate mtu mmoja hadi leo, sijawahi acha wala kuachwa

Sawa mkuu, hongera! so kwenye umalaya, ni kama mwanamke kakutana na mwanaume zaidi ya mmoja, duh!! mbona Malaya watakuwa wengi sana?
achilia mbali wale wanaofanya kama biashara..
 
Back
Top Bottom