Sawa mkuu, hongera! so kwenye umalaya, ni kama mwanamke kakutana na mwanaume zaidi ya mmoja, duh!! mbona Malaya watakuwa wengi sana?
achilia mbali wale wanaofanya kama biashara..
Ngoja nifturu kwanza
Ni mwanamke yeyote anayejihusisha na vitendo vya kingono Kwa madhumuni ya kujipatia kipato(fedha).Kwa mtazamo Kahaba na changudoa wote ni Malaya tu
sidhaniMalaya ni mtu yoyote mwanaume au mwanamke mwenye kufanya mapenzi na watu zaidi ya mmoja
Mmmh..
Changudoa ndie prostitute ambae yeye ni sex worker
ana sex for money
wapo kona bar wapo mabarabarani wanajiuza
Kuhusu malaya ..hilo linatokana na tafsiri kulingana na culture
Decent woma Marekani anaweza kuitwa malaya Zanzibar au Pemba
decent woman Sinza anaweza kuitwa Malaya huko Ikwiriri
Nambie alipo mkeo?
umewahi kuwa na maboyfriend wangapi?
Nipo naye hii baridi huioni?
prostitute/malaya:ni mtu yeyote,me/ke anayefanya mapenzi/anayetoa huduma ya ngono kwa ajili ya kujipatia kipato
adulterer/mzinzi:ni mtu yeyote anayefanya mapenzi nje ya ndoa
fornicator/mzini/anayezini: ni mtu yeyote anayefanya mapenzi kabla ya ndo.mfano mzuri ni mapenzi wakati wa uboyfriend na ugirlfriend
mfano kama mtu atatoka nje ya ndoa na kwenda kujiuza corner bar,atakuwa anafanya prostitution and at the same time adultery.
Sawa! vipi kuhusu
1. Kahaba
2. Changudoa.