"Malaya hao"..!

Si utumwa Bishanga; lakini kwa mwanamke anayefanya majukumu yake ipaswavyo automatically atajikuta hana muda wa kukaa vijiweni? Huo muda wa kuangalia familia umeshaugawa na kazi za ofisi. Afu week end unataka ushinde sijuhi rose garden na girlfriends. Mke gani wewe???

Wahaya wanakwambia toina makune. Yaani unataka ku behave as men do. Hata kama ni mfumo dume sijuhi jike nina uhakika hata hao TGNP members (waliobahatika kuolewa) wanabehave tofauti na waume zao; kwa maana kuwa wanaspend most of their times na familia baada ya kazi.

Unacheza wewe. Yaani unataka usawa wa mke kurudi saa sita usiku, mume saa saba. Hakika acha kupotosha mabinti humu wataachika ndani ya wiki!


Nikuulize Bi Mkubwa,hivi kuolewa ni utumwa? hiviukiolewa uhuru wako wa kufikiri unamkabidhi mmeo na ndugu zake?Mashoga,kha! mbona wanaume tuna marafiki kibao na hatusimangwi kwa hilo?
 
mimi nachoka kabisa na huu mfumo dume,wanaume wakishaoa baada ya honeymoon mbona wanarudi kwenye vijiwe vile vile na marafiki wale wale na inaonekana ni sawa tu? Jamani why are we insulting womens intelligence?yaani mwanaume ajichagulie marafiki ila mwanamke akifanya hivyo nongwa? kibaya zaidi linapokuja suala la hii mentality hata kinamama mnaunga tela,mbaya sana.Tubadilike pliz,tuache hii zarau kwa kinamama,ni watu wazima hawa wenye uhuru wa kuchagua marafiki na kujua maadui zao.
Bishanga,

Ume rasie point ya maana sana.

Ni kweli mfumo dume unachangia hayo.

Lakini pia vishawishi kwa kina dada ni tofauti sana na vishawishi kwa kina kaka.

Ni mara chache sana utakuta kina dada wana persue kumtaka mwanaume kwa namna ambayo mwanamume anafanya wakati wa ku mpursue mwanadada.(Ni wanawake wachache sana wenye kutumia material wealth kumtaka mwanamume)

So hapo ukiangalia utofauti,utaona ni nani yuko rahisi zaidi kuingia kwenye mtego,yani vishawishi.

Upande wa kina kaka,wengi huvutiwa na maumbile,tabia nk, where as kina dada mara nyingi wanavutiwa na mshiko ama kisu,ambapo wana msemo wao kuwa "mwenye kisu kikali ndo atakula nyama"

Halafu pia kwenye jamii yetu,responsiblities kati ya wanaume na wanawake zimetofautiana kwa kiasi kikubwa sana na hivyo kuwa mojawapo pia ya sababu...ie kama mama ni "wife wa nyumbani" or not.
 
Baba shkamoo!
Mada inasemaje tena Baba yangu?! Mimi nasema kuwa inategemea na ukaribu au frequency ya kukutana na hao marafiki!!! Ila baba huyo anayegombezwa hivyo ni mke au mtoto? Mke hagombezwi unaongea nae

"Nina Baba yangu asiyeshindwa Kamwe........"
 
Back
Top Bottom