Malawi tuonesheni mfano

Malawi tuonesheni mfano

tatizo lenu mnafikir kila mapinduzi ni faida..wengine wamenunuliwa na vibaraka..
<br />
<br />
We kila kitu vibaraka,kwani ccm ipo chini ya nani? vipi bwana acha ulevi huo; sisi sio wajinga kama wewe hadi tushindwe kuona uovu huu mkuu unaotendwa na CCM.
 
Kama serikali iliyopo madarakani ni umande tu kichwani na ubabau=ishaji basi wananchi wanayo haki ya kuandamana ama kutumia njia yoyote ili kupeleka message kuwa wamechoka. Sasa Tanzania kwa kuwa bado akili zetu ni bongo lala tunaona kuwa eti ni vibaraka.
 
siwezi kutoa komenti kwa vile sijui wewe na walio karibu nawe mlimchagua nani.
 
tusubiri lakini nao maandamano yako mlango yanabisha hata tz maana viongozi wetu wameshajisahau kama vyeo ni zamana na wajibu wao nini mbele ya umma
 
Mimi naisubiri hiyo siku kwa hamu kubwa sana, kwani nchi yetu rais kaenda likizo,
 
Nyie mnaandamanaa wenzenu wanachukua picha za video kwenda kuombea misaada CDU.
 
<br />
<br />
malawi inatulisha watanzania sukari,karanga,mbao,ngozi,chai,pamba hivyo wao wana hali bora kuliko tanzania,directly watanzania ilitakiwa tuchukue hatua kabla ya wamalawi!miaka 50 ya uhuru ni bora ya utawala wa mkoloni mjerumani hapa tanganyika

Mmejifungia kariakoo halafu mnadhani kwamba wenzenu wako peponi. Nenda Malawi ukaone watu wanavyoteseka na maisha!
 
Kama serikali iliyopo madarakani ni umande tu kichwani na ubabau=ishaji basi wananchi wanayo haki ya kuandamana ama kutumia njia yoyote ili kupeleka message kuwa wamechoka. Sasa Tanzania kwa kuwa bado akili zetu ni bongo lala tunaona kuwa eti ni vibaraka.

Wewe mwenyewe unaona kuanzisha vurugu ni ujanja na kupigania maslahi kwa njia za kisheria na za amani ndiyo bongo lala. Mnaoongea hivyo hata responsibility kwa familia zenu hazipo.
 
Back
Top Bottom