Malawi to take border dispute with Tanzania to ICJ

Ni kweli mkuu...lakini anaposema amejitoa tu sababu Tanzania eti wamezindua ramani mpya..mara tunawa_harrasi wamalawi_kwa hiyo anatuambia ana plan' B' kudeal na hili tatizo,...ndio maana nasema asitishie watu wazima nyau...aje_atapata majibu yake.
Plan A ya Malawi ilikuwa ni kwenda Mahakamani moja kwa moja, na plan A ya Tanzania ilikuwa ni vita moja kwa moja.

Hivyo good will between JK na Mama Banda ikazaa mazungumzo rasmi na kila mmoja kufuta plan A.

Sasa anachofanya JK ni sanaa ambayo amezoeia kuifanya bongo kwenye migogoro kama ya madaktari, walimu, wafanyakazi, kujivua gamba nk.
 
Mkuu Elli katika suala la mgogoro wa mpaka na Malawi Rais Kikwete yuko sahihi.Linapokuja suala la nchi tuweke tofauti zetu za kiitikadi pembeni.

Well said Ngongo..........hope jamaa kakuelewa vema.
 
We said so. Nothing you can discuss with our recent government.

Mazungumzo kwa serikali ya JK maana yake ni kuchelewesha muda ili upepo upite lakini sio kutafuta suluhu ya kudumu.

Hawa wamalawi walikuwa hawamjui vizuri JK sasa wamemjua vizuri!
hata wao nadhani wameona hili na ndio maana wamestuka mapema...ila mwisho wa siku itakula kwao tuu nasikia membe keshawawahi kuwapeleka UN ..
 
Plan A ya Malawi ilikuwa ni kwenda Mahakamani moja kwa moja, na plan A ya Tanzania ilikuwa ni vita moja kwa moja.

Hivyo good will between JK na Mama Banda ikazaa mazungumzo rasmi na kila mmoja kufuta plan A.

Sasa anachofanya JK ni sanaa ambayo amezoeia kuifanya bongo kwenye migogoro kama ya madaktari, walimu, wafanyakazi, kujivua gamba nk.

Nazipenda hizo plan'A' za kila nchi,....i.e wakati Malawi wanaenda mahakamani_sisi tusogeze vifaru na midege yetu_tayari kwa kuwaadabisha kwa usumbufu waliousababisha.
 
Uko sahihi kabisa Mpwa, nilichokisemea ni hio comment kuwa Rais alipotosha ukweli wa mambo...mengine niko pamoja kabisa
Mkuu Elli katika suala la mgogoro wa mpaka na Malawi Rais Kikwete yuko sahihi.Linapokuja suala la nchi tuweke tofauti zetu za kiitikadi pembeni.
 
wakuu mtaliweza hili,kuvamia malawi kupitia ziwa lao kama vile wakenya walifanya huko kismayo?tafakari !!
 
Last edited by a moderator:
Hivi Rwanda na Burundi sio mikoa ya Tanzania yetu kweli?
Mkuu huko tusijaribu kabisa, tutasambaratishwa mbaya!

Hasa huyo Kagame ni kitisho cha dunia kwa sasa.

Si tuendelee na wanzanzibar wetu, maana hawa ni wanyonge wetu.
 
Mkuu Elli katika suala la mgogoro wa mpaka na Malawi Rais Kikwete yuko sahihi.Linapokuja suala la nchi tuweke tofauti zetu za kiitikadi pembeni.
Mkuu fafanua yuko sahihi kivipi?
Mbona sioni itikadi yoyote hapa zaidi mimi naona udhaifu na usanii tu wa JK.

Kwa nini unakwenda kwenye mazungumzo kama huna nia ya dhati ya kufikia muafaka?

Wenzetu kule Malawi hawana muda wa kumsifia Mama Banda, kila hatua rais wao anayoichukua wataipongeza kama ya maana na wataikosoa vikali kama ni ya kijinga.
 
Last edited by a moderator:
Kwani wamalawi wananyanyaswa vipi huko ziwani.? Au wamezuiwa kuendesha shughuli zao za kila siku.?
 
This is what happens when we (in TZ) have a comedian type of president(JK)......today he speaks this way.....and tomorrow the other way......a man who doesn't walk the talk......a typical pretender....what a shameful president!!!.....good Madame Banda for pulling out L.Nyasa talks.....By the way.....these Tanzanians are surrounded by water everywhere(rivers and lakes)...but they do nothing out of them.....just because of leaders like this pretender.....

Source:
http://www.thecitizen.co.tz/component/content/article/37-tanzania-top-news-story/26196-malawi-pulls-out-of-border-dispute-talks.html
 
ile ramani mpya ilikua salam tosha kwenda Malawi,kwamba pamoja na kukaa kwenye meza mazungumzo hatma yake ni lazima iwe kugawana ziwa, ni kama yeye alivyojiaminisha kwamba ziwa lote lipo upande wao.!
 
... Malawi ndo wana intelijensia, tofauti na intelijensia uchwara ya Kova na jeshi la polisi!
 
Nafikiri huyu mama alikuwa hajui longolongo ya waswahili. Mafumbomafumbo mengiiiii, deligates wengiii kila kundi na lao ili kuweka ugumu wa maamuzi/makubaliano.
 
Back
Top Bottom