Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 630
hata aende mahakama ya wapi kuhusu kulichukua ziwa asahau, hata akishinda kesi kule ziwa hapati
mbona yeye ana maziwa?? hilo moja chukuenii:tongue:
hata aende mahakama ya wapi kuhusu kulichukua ziwa asahau, hata akishinda kesi kule ziwa hapati
Sio rahisi kama unavyofikiri, jiulize kwanini DRC wanashindwa kuivamia Rwanda ambayo ni nchi ndogo sana?
Utakwenda kuwachapa au unawasakizia wengine?
Mkuu Concrete ... hivi unajua unachokiongea?! .... hebu jitahidi soma kwanza kuhusu Mataifa hayo mawili ndio uje ku-comment hapa.Mkuu kwanini ujiulizi nchi kubwa na yenye nguvu kubwa ya kijeshi kama China hawataki kukimbilia vita dhidi ya nchi ndogo sana ya Japan kwenye mzozo wa kugombea visiwa?
Sio rahisi kama unavyofikiri, jiulize kwanini DRC wanashindwa kuivamia Rwanda ambayo ni nchi ndogo sana?
Mkuu huko tusijaribu kabisa, tutasambaratishwa mbaya!
Hasa huyo Kagame ni kitisho cha dunia kwa sasa.
Si tuendelee na wanzanzibar wetu, maana hawa ni wanyonge wetu.
Ndo mana tunalipa kodi ili wale waTZ wenzetu wa LUGALO,MONDULI,MAFINGA na NGERENGERE wapate mishahara haya sasa na wenzetu nao waingie kibaruani kama sisi tunavyofanya kazi.
wakuu mtaliweza hili,kuvamia malawi kupitia ziwa lao kama vile wakenya walifanya huko kismayo?tafakari !!
Kenyan troops in Somali beach assault - YouTube
Ero Sabayi, Naitadara Engai! Ni swali zuri hilo. Tuna nafasi kiasi gani kushinda?Tuna nafasi gani ya kushinda hii kesi ICJ?