cheichei2010
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 932
- 350
Tukisema Nyerere alikua Raisi bora,wenye hoja nyepesi nyepesi na za udini,wata lipuka na kutapatapa.Swali ninalojiuliza, kwanini hawakuuliza enzi za Mwinyi?Nyerere alikua hai.Kwanini sio mkapa?Mkapa alikua mbabe.kwanini sasa wakati wa JK?Ni dhaifu na msaniii.Inahitajika common sense.Tumetenganishwa na ziwa ndio mpaka, hapo inabidi iwe nusu kwa nusu, vinginevyo walihamishie kwao.