Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Tujiandae kupoteza iwapo tutalazimika kukubaliana na maamuzi ya kidiplomasia na kisheriaAnd I quote "Attorney generals to evaluate 1890 treaty".. Hapo ndipo watanzania tutakapopigwa bao! Huyu werema ataweza kweli, maana jamaa anaonekena ni kilaza mkubwa kweli.